Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Huu uzi ulivyouandika unazihirisha ushamba wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli ni washamba ....kama mtetezi ndio unakuja na hoja za Msekwa na Mongella ....aseee acheni ushamba mnatudhalilisha Kanda ya ziwaImekua tabia ya mda mrefu sasa kuwachukulia watu kutoka maeneo ya visiwa vya ziwa Victoria kua ni watu washamba wasio jua chochote sana sana kisiwa cha UKEREWE kinaonekana ni kisiwa cha watu washamba sana ila leo ningependa kutoa orodha ya watu muhimu nchini walio tokea ukerewe
- Piusi Msekwa Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) kati ya mwaka 1999-2002, pia Mjumbe wa Kamati ya Kurekebisha Sekta ya Sheria kati ya mwaka 1993-1994 na Mjumbe wa Tume ya Rais ya Kuangalia Mfumo wa Vyama vya Siasa nchini kati ya mwaka 1991-1992. Nyadhifa nyingine ambazo amewahi kuzishikilia, ni Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi katika Mamlaka ya Maendeleo ya Mitaji kati ya mwaka 1985-2000 na Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi katika Chuo cha Uongozi wa Wanyamapori barani Afrika kati ya mwaka 1985-2000. Vilevile aliwahi kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu kati ya mwaka 1984-1989, Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi katika Chuo cha Ushirika Moshi kati ya mwaka 1984, Mjumbe wa Tume ya Kurekebisha Sheria mwaka 1983 na Mjumbe wa Kamati ya Rais ya Kupunguza Matumizi ya Serikali kati ya mwaka 1982-1983.
- Mama Getruda Mongella = Gertrude Mongela ameshika nyadhifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa. Miaka 1993-1995 alikuwa Katibu Mkuu wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Wanawake na kuhudhuria mkutano wake wa nne uliofanyika Beijing, China mwaka 1995. Amewahi kuwa balozi nchini India (1991-1993), Waziri Asiye na Wizara Maalum, Waziri wa Ardhi, Maliasili na Utalii, mshauri maalum wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi, na Utamaduni
Uzi bado unaendelea......
Ni eneo gani jingine watu wana lichukulia poa lakini lina watu muhimu na wenye mambo makubwa ?
Tiririka chini uzi huuu
Ungeelewa nini thread inamaanisha sizan kama unge comment hivKwa kweli ni washamba ....kama mtetezi ndio unakuja na hoja za Msekwa na Mongella ....aseee acheni ushamba mnatudhalilisha Kanda ya ziwa
Sawa ndugu unataka kunamby butiama wanakaa wachaga na wahehe 🤔🤔??Hakuna Mkurya Musoma wala Butiama.
Bitiama ni Zanaki, Musoma ni mchanganyiko, Wakurya wanatoka Tarime.Sawa ndugu unataka kunamby butiama wanakaa wachaga na wahehe 🤔🤔??
Yaani Wewe Unataka Kuwatosa Wenzio Wa Ukerewe Lakini Ukweli Ndio Huo.Ungeelewa nini thread inamaanisha sizan kama unge comment hiv
Hapo nimezungumzia wilaya ya ukerewe tu sjaizungumzia kanda ya ziwa yote
Hiv ningesema niizungumzie kanda ya ziwa unadhan thread ingekua fupi namna hii
Usiwasingizie wasukuma hapa sifa hii wanayo wajita kule anakotoka yule Komandoo waziri wa mambo ya ndani na yule mwanaharakati hawa watu ka kabila kadogoo lakini kila kitu wanajua wabishiiiii kujimwambafai hata mtu akijenga choo akaezeka ni shida mtaanikanda ya ziwa inawashamba na malimbukeni !.
ninaishi nao kanda ya ziwa .mtu hakipata pesa kidogo kijitutumia kujiona wengine wamefili maisha na yeye ndio ana akili kuliko wote.
nazani yale ya mwendazake ilikuwa mfano tosha
Mshamba mu1 hiv ety watu muhim kuna mtu ambaye siye muhimu kiazi mbatata we😇🤣😅Imekua tabia ya mda mrefu sasa kuwachukulia watu kutoka maeneo ya visiwa vya ziwa Victoria kua ni watu washamba wasio jua chochote sana sana kisiwa cha UKEREWE kinaonekana ni kisiwa cha watu washamba sana ila leo ningependa kutoa orodha ya watu muhimu nchini walio tokea ukerewe
- Piusi Msekwa Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) kati ya mwaka 1999-2002, pia Mjumbe wa Kamati ya Kurekebisha Sekta ya Sheria kati ya mwaka 1993-1994 na Mjumbe wa Tume ya Rais ya Kuangalia Mfumo wa Vyama vya Siasa nchini kati ya mwaka 1991-1992. Nyadhifa nyingine ambazo amewahi kuzishikilia, ni Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi katika Mamlaka ya Maendeleo ya Mitaji kati ya mwaka 1985-2000 na Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi katika Chuo cha Uongozi wa Wanyamapori barani Afrika kati ya mwaka 1985-2000. Vilevile aliwahi kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu kati ya mwaka 1984-1989, Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi katika Chuo cha Ushirika Moshi kati ya mwaka 1984, Mjumbe wa Tume ya Kurekebisha Sheria mwaka 1983 na Mjumbe wa Kamati ya Rais ya Kupunguza Matumizi ya Serikali kati ya mwaka 1982-1983.
- Mama Getruda Mongella = Gertrude Mongela ameshika nyadhifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa. Miaka 1993-1995 alikuwa Katibu Mkuu wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Wanawake na kuhudhuria mkutano wake wa nne uliofanyika Beijing, China mwaka 1995. Amewahi kuwa balozi nchini India (1991-1993), Waziri Asiye na Wizara Maalum, Waziri wa Ardhi, Maliasili na Utalii, mshauri maalum wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi, na Utamaduni
Uzi bado unaendelea......
Ni eneo gani jingine watu wana lichukulia poa lakini lina watu muhimu na wenye mambo makubwa ?
Tiririka chini uzi huuu