Maex muwe mna move on

Yani uzi tayari hahahaha
 
😂😂huwa anakumezesha p2 Kama mtoto apewapo dawa au anakupatia mkononi na glass ya maji afu unabugia mwenyewe?
Mkewe hampi mbususu, wanawake wengi wakishaolewa wanaona ngono ni kama hisani kwa waume zao
So jamaa anakuja kureleas stress kwako,kaa vipi beba mimba nyingine kistyle afu umtaarifu mkewe
Au mrekod mkido afu mrushie mkewe,uone reaction yake🤣🤣
 
😂😂😂Huoni wee ndio chujio la chai..anakula, anapunguza nyege, anakupa p2?.

Nawee unahisi anakupenda???.

Mwanaume Kuna wakati ananunua Malaya japo ana Mke Ndani.

Stukaaa wewe, P2 sio salama kwako.
 
Nilishasema huku, Bikra Hana kumbukumbu yoyote na Mwanaume.

Ila yeye kutolewa Bikra ndan ya Ndoa, hua hakimfanyi asiliwe.
 
Huyu ni mwanaume, unapoteza muda tuu.

Analetaga uzi za ajabu sana, kuna siku anakuwa wa kiume kuna siku anakuwa wa kike.

Nahic ni hermaphrodite.
 
Ogopa single maza sio wa kufanya nao maisha piga hit and run
Kuna singo maza niko nae kama mwaka,siku moja akaugua U.T.I kali akasema mimi ndo nimemwambukiza,akasema ndugu zake wameshangaa kusikia ana ugonjwa huo,nilichoka pale aliponiambia eti hata bwana ake walieachana kampigia simu kumcheka,nilishangaa sana,hadi nikapanga kumuacha
 
Ulipaswa kumkatalia hapo mwanzo na si kwa sasa. Hata ukikataa haina haisaidii mkuu.

Endelea kumpa haki yake maana ni baba wa mtoto wako.
 
Kiporo hicho hakihitaji moto mwingi.Kibane bane mwisho kiliwe na nyenyere.
 
Anawaharibia Sana wenzie wakose waume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…