Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani uzi tayari hahahahaNiliachana na baba mtoto wangu,akapata mke mwingine na ana mtoto saizi kwa uyo mke wake,lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Ku sex tu alafu tukimaliza ananipa p2,safari hii nimeamua kumkazia Nimemwambia sitaki Nina mahusuano yangu lakini asikii siku ya tatu Leo namkatalia lakini bado anapiga piga simu kudai sex.
Usiulixe chumvi baharini. Au barufu kuficha juani.Hii ndiyo sababu watu wanaogopa single mother.
Nawewe kwanini ulikubali kufanya nae hizo mambo wakati unajua hawezi kuwa mumeo tena na hawezi kuwa mpenzi wako pekee?
Kibaya zaidi unakubali kulishwa makemikali (P2) nikisema hujitambui hujielewi nitakosea?
Ana huruma sana huyu ...Kumbe umemuendekeza mwenyewe
😂😂😂Huoni wee ndio chujio la chai..anakula, anapunguza nyege, anakupa p2?.Niliachana na baba mtoto wangu,akapata mke mwingine na ana mtoto saizi kwa uyo mke wake,lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Ku sex tu alafu tukimaliza ananipa p2,safari hii nimeamua kumkazia Nimemwambia sitaki Nina mahusuano yangu lakini asikii siku ya tatu Leo namkatalia lakini bado anapiga piga simu kudai sex.
Nilishasema huku, Bikra Hana kumbukumbu yoyote na Mwanaume.Wewe ni sample tu,ya baadhi ya wanawake..... machoni pa watu,mtu anasema hawezi kusex na ex,wakikutana.... mtanañge unaendelea....
Mwanamke ninayemuamini ni bikra tu,bora aje abadilikie kwangu.... hana kumbukumbu yoyote iwe nzuri au mbaya na mwanaume yeyote zaidi yangu.
Huyu ni mwanaume, unapoteza muda tuu.Unajua madhara ya hizi P2?
Anakupa unafakamia tu!
Na ni mume wa mtu tayari. Ulikuwa unategemea nini hasa kutoka kwake?
Unawaaibisha masingo maza wenzio wanaojitambua na unaendelea kukoleza moto wa kwamba singo mazazi hawafai maana huendelea tu kulalwa na baby daddies wao.
Unasikitisha!
Kuna singo maza niko nae kama mwaka,siku moja akaugua U.T.I kali akasema mimi ndo nimemwambukiza,akasema ndugu zake wameshangaa kusikia ana ugonjwa huo,nilichoka pale aliponiambia eti hata bwana ake walieachana kampigia simu kumcheka,nilishangaa sana,hadi nikapanga kumuachaOgopa single maza sio wa kufanya nao maisha piga hit and run
Anawaharibia Sana wenzie wakose waume.Unajua madhara ya hizi P2?
Anakupa unafakamia tu!
Na ni mume wa mtu tayari. Ulikuwa unategemea nini hasa kutoka kwake?
Unawaaibisha masingo maza wenzio wanaojitambua na unaendelea kukoleza moto wa kwamba singo mazazi hawafai maana huendelea tu kulalwa na baby daddies wao.
Unasikitisha!