Maex muwe mna move on

Ogopa single maza sio wa kufanya nao maisha piga hit and run
Kila mara nawaambia vijana humu usioe single mother na kama itakulazimu kumuoa hakikisha:
1. Akuonyeshe Kaburi la huyo alozaa naye
2. Cheti cha kifo chenye majina halisi ya marehemu mzazi mwenzie
3.Ushahidi wa video na picha za msiba
4.Uthibitisho wa serikali za mitaa
5.Sababu za kifo cha huyo mzazi mwenzie
6. Ikiwezekana kaburi lifukuliwe muhakikishe kwa DNA aliyezikwa humo ni yeye kweli
7.Usioe single mother!
 
Aisee kumbe una mtoto? 🤣🤣🤣

Kupatwa kwa pashukwa 😁
 
....lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Kusex tu alafu tukimaliza ananipa p2.
Sasa kama tayari una mtu wako mwingine mbona unamsaliti na kumezeshwa P2?

Halafu kuzaa tena kukishindikana kwa sababu ya kutumia sana P2 itakuwaje?

Duh, ndiyo maana kuchukua single mom ni kujitafutia shida tu.
Single mum kumnyima mzazi mwenzie mbususu ni ngumu.

Hata wewe unamkazia kwa muda tu afu baadaye utamtunuku hadi achoke mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…