Kila mara nawaambia vijana humu usioe single mother na kama itakulazimu kumuoa hakikisha:Ogopa single maza sio wa kufanya nao maisha piga hit and run
Aisee kumbe una mtoto? 🤣🤣🤣Niliachana na baba mtoto wangu, akapata mke mwingine na ana mtoto saizi kwa uyo mke wake,lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Kusex tu alafu tukimaliza ananipa p2.
Safari hii nimeamua kumkazia Nimemwambia sitaki Nina mahusuano yangu lakini asikii siku ya tatu Leo namkatalia lakini bado anapiga piga simu kudai sex.
Ogopa single maza sio wa kufanya nao maisha piga hit and run
Sasa kama tayari una mtu wako mwingine mbona unamsaliti na kumezeshwa P2?....lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Kusex tu alafu tukimaliza ananipa p2.