Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
500MBTTCL kwa 1000 naweza kupata mb ngap na kwa siku ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
500MBTTCL kwa 1000 naweza kupata mb ngap na kwa siku ngapi?
Unapata 500MB kwa miezi 12 kupitia Jiachie PackTTCL kwa 1000 naweza kupata mb ngap na kwa siku ngapi?
Mbona la kwangu bado liko sawa??Habari, mafaili ya ha tunnel yamekwisha expire.Msaaada nifanyeje?
Mfano kama ipi?Sajili laini ya TTCL hautojutia, kuna bando nafuu sana na zinadumu si mchezo
Huu n uongo bhan😁😁Unapata 500MB kwa miezi 12 kupitia Jiachie Pack
Tsh 500 ni 240MB kwa miezi 12
Tsh 1000 ni 500MB kwa miezi 12
TSh 3000 ni 1.5GB kwa miezi 12
Hii ni Jiachie Pack na ndio vifurushi vya bei rahisi zaidi vya TTCL kwa sasa
Mkuu samahani, unaweza kunielekeza hiyo HA Tunnel plus unatumiaje na procedure zipi nifuate. Pia labda inaenda vizuri zaidi na mtandao gani, au ni server ipi huwa strong muda mwingi huko ha tunnel plus[emoji848][emoji848]Mbona la kwangu bado liko sawa??
Uongo gani mkuu [emoji848][emoji848]Huu n uongo bhan[emoji16][emoji16]
Hapo kwnye miez 12 nd pamenichanganyaUongo gani mkuu [emoji848][emoji848]
naomba uniambie statement ipi ni ya uongo hapo nijitetee, unajua ukifanya mzaha unapotosha watu. Mimi natumia TTCL, niambie tu uongo upo wapi nikueleweshe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ungeomba tu nikueleweshe.Hapo kwnye miez 12 nd pamenichanganya
Na wal sio bufee pack😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ungeomba tu nikueleweshe.
Jiachie Pack ni kifurushi cha TTCL ambacho wenyewe wanadai hakina ukomo wa muda yaani ukinunua MB usipozitumia hata miezi itapita na bado MB zako zinabaki palepale lakini hazibaki milele, ikishapita miezi 12 tangu umenunua kifurushi basi ndo MB zako nazo zinakatwa huko zote na TTCL
Kwa hiyo bando la Jiachie Pack linadumu kwa miezi 12 mkuu
Shukrani, nataka mbadala wa airtel lakini mwenye vifurushi nafuu [emoji106]Unapata 500MB kwa miezi 12 kupitia Jiachie Pack
Tsh 500 ni 240MB kwa miezi 12
Tsh 1000 ni 500MB kwa miezi 12
TSh 3000 ni 1.5GB kwa miezi 12
Hii ni Jiachie Pack na ndio vifurushi vya bei rahisi zaidi vya TTCL kwa sasa
Bufee pack nalo hukaa miezi 12 kama Jiachie PackNa wal sio bufee pack[emoji16][emoji16]
Nawezaje kujua aina ya huduma katika eneo langu ikiwa hakuna cableFunga Copper au Fiber