Mafanikio haya ya Serengeti Boys ni matunda ya Nape Nauye au Harrison Mwakyembe?

Mafanikio haya ya Serengeti Boys ni matunda ya Nape Nauye au Harrison Mwakyembe?

bado game hazijaisha na bado hatujapata mafanikio tuliyokusudia
 
Karibuni tu ' mtiririke ' na ' mserereke ' kwani kuna Mtu mmoja hapo juu ( kwa hao Watajwa ) tokea jana baada ya ' Ushindi ' ule wa Serengeti Boys kule Gabon namsikia sasa ' anatamba ' na ' kujifaragua ' kuwa ' mafanikio ' haya ni matunda yake.

Nawasilisha.
Yap Serengeti wenyewe
 
Karibuni tu ' mtiririke ' na ' mserereke ' kwani kuna Mtu mmoja hapo juu ( kwa hao Watajwa ) tokea jana baada ya ' Ushindi ' ule wa Serengeti Boys kule Gabon namsikia sasa ' anatamba ' na ' kujifaragua ' kuwa ' mafanikio ' haya ni matunda yake.

Nawasilisha.
Mafanikio ya malinzi..achaguliwe tena..
 
Najua kama Serengeti Boys wana Kocha wao Bakari Shime a.k.a Mchawi Mweusi na Nahodha wao ila nimeuliza kati ya aliyekuwa Waziri Nauye na Waziri wa sasa Mwakyembe nani anastahili ' pongezi / kongole ' kwa mafanikio haya ya Timu yetu ya Taifa ya Vijana?

Kuna Timu yoyote ya Taifa inayoshiriki michuano yake bila ushirikiano mkubwa kutoka Serikalini? Na je hao akina Nauye na Mwakyembe hawakuwa au siyo wawakilishi kutoka Serikalini? Hii ID yako ni moja ya ID's ambazo huwa naziheshimu humu ila sijui leo ' imebakwa ' na Mtu mwingine au la!
Mahaba yako kwa nape hayatuhusu...unatumalizia mb zetu kwa post za kijinga!
 
Mkianza tu kuihusisha Serengeti boys na siasa chafu za bongo basi tambueni haitofika kokote.
CCM ina laana, madogo wanehusishwa tu kidogo na hili CHAMA la Wala rambirambi tayari tumetupwa nje!
 
Mafanikio yapi wewe limbukeni.? Tanzania timu ikishinda kamechi kamoja shida tuph kama vike imechukua ubingwa.Watanzania wacheni kuwa kipofu aliyeoba mwezi.
 
Mkianza tu kuihusisha Serengeti boys na siasa chafu za bongo basi tambueni haitofika kokote.
Wale madogo niliona wako innocent na walijitahidi kuliko kawaida. Sikutegemea kama kuna siasa tena.
Nilitegemea wakifika wapongezwe na kuwekewa mikakati ya kufanya vizuri zaidi. Vinginvyo tutawakatisha tamaa na hata kizuri kidogo walichonacho kitayeyuka faster
 
Mafanikio gani ? Kufaulu kwa mteremko
Bora walivo tolewa maana team kagera wangetumia nafasi hio kurudi TFF....
 
Wale madogo niliona wako innocent na walijitahidi kuliko kawaida. Sikutegemea kama kuna siasa tena.
Nilitegemea wakifika wapongezwe na kuwekewa mikakati ya kufanya vizuri zaidi. Vinginvyo tutawakatisha tamaa na hata kizuri kidogo walichonacho kitayeyuka faster
Kidogo gani? Ilitakiwa ushindi tu kukata tiketi ya kushiriki kombe la dunia yani hii ilikuwa ni do or die.
Shida kubwa ni kama nilivyoeleza huko awali.
 
Nilijua tu watatolewa kuna watu wana gundu baya, akiwepo tu nuksi inaingia.
 
Eti 'Mafanikioya Serengeti boys'

Wabongo bana wakishinda mechi Moja ndo balaa
 
Back
Top Bottom