Mafanikio hayatangazwi bali hujitangaza

Binafsi siwezi tangaza fursa kwa watu, wakati mimi ni mnufaika wa hiyo fursa.

Mbwa mwenye mnofu hapigi kelele maana mnofu utadondoka mdomoni.

Tuache tambo.

Ukiwa na pesa, jiwekeze kimya kimya, jikatie bima ya afya NHIF, Strategies, MO, Jubilee

Ukiwa na pesa wawekee watoto wako BOT huko hata 100,000,000 ambayo kwa miaka 5,10,15,20,25 hawatakosa chakula maana watalipwa kila mwezi hata kama umekufa.

Jenga kitega uchumi ambacho kila siku hukosi 100,000 ie Guest House

Kula vizuri, Jali afya, kuwa karibu na Mungu
 
Mbwa mwenye mnofu hapigi kelele maana mnofu utadondoka mdomoni.๐Ÿ“Œ๐Ÿ”จ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ