Mafanikio: Ipi bora, kughairi ama kuendelea kukomaa na mradi wako?

Mafanikio: Ipi bora, kughairi ama kuendelea kukomaa na mradi wako?

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Kuna vitu sivielewi, wengine wanasema ukiona project haiendi vizuri baada ya miaka kadhaa achana nayo fanya ishu zingine, wanaita upepo umekata.

Wengine wanasema biashara ama mradi wowote unatakiwa ukomae mwazo mwisho ndo utaona mafanikio.

Let say mtu kaajiriwa anaamua kugairi kazi baada ya kuona hakuna mwanga mbele yake, huku wengine wakiendelea kukomaa ipi njia sahihi katika kufanikiwa?

Karibuni kwa mjadala wakuu.
 
Kuna vitu sivielewi, wengine wanasema ukiona project haiendi vizuri baada ya miaka kadhaa achana nayo fanya ishu zingie, wanaita upepo umekata.

Wengine wanasema biashara ama mradi wowote unatakiwa ukomae mwazo mwisho ndiyo utaona mafanikio, ipi njia sahihi katika kufanikiwa?

Karibuni kwa mjadala wakuu.
 
Kuna hatua mbali mbali za kuchukua kama project haisongi...

1. Downsizing
Punguza scope ya project.
Kama ulikuwa unajenga jengo la ghorofa kumi, na fedha imekata, jenga tano zikamilike kuliko kukomaa zote kumi zipande alafu ubaki na gofu.

2. Extension of Implementation Period
Kama uliweka malengo project ikamilike ndani ya miaka miwili, unaweza kuiongezea muda ikamilike ndani ya miaka mitatu hadi minne.
 
Sijui haya mambo yanaendaga na bahati pia .Kuna mwana alikua na kijikampuni cha ulinzi akaona hakina mwelekeo kamuachia dogo mmoja akomae nacho. Aisee dogo anakula deal sio kitoto, mambo yanaenda vizuri kinoma sasa hivi.
 
Tafuta njia nyingine kama hiyo nyingine una uhakika nayo
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Mi nina project nikiazisha miaka kama 3 bila mafanikio mwaka wa 4 njia zilifunguka hata sielewi.
 
Kuna vitu sivielewi, wengine wanasema ukiona project haiendi vizuri baada ya miaka kadhaa achana nayo fanya ishu zingine, wanaita upepo umekata.

Wengine wanasema biashara ama mradi wowote unatakiwa ukomae mwazo mwisho ndo utaona mafanikio.

Let say mtu kaajiriwa anaamua kugairi kazi baada ya kuona hakuna mwanga mbele yake, huku wengine wakiendelea kukomaa ipi njia sahihi katika kufanikiwa?

Karibuni kwa mjadala wakuu.
Nothin is easy,mambo yasipoenda usikimbilie kulaumu mazingira au partners,Kila kitu ni ww,work on urself,km wanaweza kufanya biashara hiyohiyo kwnn ww ufeli,ukiweza kujitazama mwnyw hutafeli kamwe.
 
Tumia formula hii. Ukiona unachofanya umekirudia zaidi ya mara tatu huku ukibadilisha approach ya kiutendaji na hakileti faida na kinakula mtaji wako then its better ukiache kwa muda ufanye jambo jingine lenye faida na lililo ndani ya uwezo wako wakati ukitafakari approach nzuri ya faida ya kufanya hili jambo.
 
Back
Top Bottom