Masikini na tajiri wote watakufa. Muda wake umetimia amekwendaMkuu mi si naelezea hali halisi, hata wewe hapo leo ghafla ukianza kuporomosha majumba, huwezi chukua miaka 7.
Mfano mzuri, yule marehemu Seki lusekelo,(mfanyabiashara wa madini-Tanzanite) mimi nimeishi nae, kwao walikua masikini, wakutupwa enzi hizo sekondari, alisoma kwa shida sana, akafaulu akaenda Chuo kikuu, alivyomaliza aliajiriwa mgodi wa Bulyanhulu, akafanya kazi miezi 6 tu, akaenda Mererani, akaanza kupata hela za ajabu, sasa ivi ni historia.
Mkuu imani huja kwa kusikia.
Akikujibu nitag mkuuSedekia je utasemaje kuhusu yeye?
Au na yeye alikuwa hamrudishii Mungu sifa?
Halleluyah!Masikini na tajiri wote watakufa. Muda wake umetimia amekwenda
Kitendo cha diamond kila anapokwenda nchi husika husimama, anapokelewa kama mfalme, mambo makubwa nanayoyafanya kimziki, kiulimwengu wa roho, ni dalili ya kifo kinamnyemelea (Eeh Mungu muepushie na jinamizi hili).
Daimond anachafanya sasa ivi, kiulimwengu wa roho ni kupata mashabiki ambao siku sio nyingi watakuja kuhuzunika sana, kwani kifo chake kitakua cha ghafla tu.
Fuatilia hii duniani huko na hapa tz, kwa watu wote na hata kwa wanasiasa eg Deo Filikunjombe na wengine, vifo vyao vinatokana na Ibilisi kutaka kuwaumiza wanaobaki.
Diamond ni kama vile anawaaga mashabiki zake.
Namshauri Diamond asali sana, kwani ibilisi mtoa roho anamnyemelea.
Kwani kuna mtu atabaki milele ktk dunia hii?wewe mwenyewe jiandae vilevile sio kuwaangalia wenzako(jionee huruma mwenyewe mana hamtakuepo kaburi 1 na huyo baba T)Kitendo cha diamond kila anapokwenda nchi husika husimama, anapokelewa kama mfalme, mambo makubwa nanayoyafanya kimziki, kiulimwengu wa roho, ni dalili ya kifo kinamnyemelea (Eeh Mungu muepushie na jinamizi hili).
Daimond anachafanya sasa ivi, kiulimwengu wa roho ni kupata mashabiki ambao siku sio nyingi watakuja kuhuzunika sana, kwani kifo chake kitakua cha ghafla tu.
Fuatilia hii duniani huko na hapa tz, kwa watu wote na hata kwa wanasiasa eg Deo Filikunjombe na wengine, vifo vyao vinatokana na Ibilisi kutaka kuwaumiza wanaobaki.
Diamond ni kama vile anawaaga mashabiki zake.
Namshauri Diamond asali sana, kwani ibilisi mtoa roho anamnyemelea.
Kila nafsi itaonja mauti. Unavyoongea ni kama wewe hutakufa..Kitendo cha diamond kila anapokwenda nchi husika husimama, anapokelewa kama mfalme, mambo makubwa nanayoyafanya kimziki, kiulimwengu wa roho, ni dalili ya kifo kinamnyemelea (Eeh Mungu muepushie na jinamizi hili).
Daimond anachafanya sasa ivi, kiulimwengu wa roho ni kupata mashabiki ambao siku sio nyingi watakuja kuhuzunika sana, kwani kifo chake kitakua cha ghafla tu.
Fuatilia hii duniani huko na hapa tz, kwa watu wote na hata kwa wanasiasa eg Deo Filikunjombe na wengine, vifo vyao vinatokana na Ibilisi kutaka kuwaumiza wanaobaki.
Diamond ni kama vile anawaaga mashabiki zake.
Namshauri Diamond asali sana, kwani ibilisi mtoa roho anamnyemelea.