Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
This time Tanzanians need a person of Kagame calibre to order things!. Mazoea sasa bhaaaas na kwamba Hapa kaaaaaaazi tu!
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
This time Tanzanians need a person of Kagame calibre to order things!. Mazoea sasa bhaaaas na kwamba Hapa kaaaaaaazi tu!
tutampima kwa matokeo kama vifaa vya kutosha mahospitalini, madawa ya kutosha, wafanyakazi wa kutosha hasa elimu na afya, vitendea kazi vya kutosha mashuleni, wanafunzi wenye sifa elimu ya juu wote wanapata mikopo, barabara nzuri, maji salama, umeme wa uhakika, uchumi wa mtu mmoja mmoja umekua n.k hatutampima kwa ziara maofisini
Unataka nithibitishe nini?Acha maneno mengi,thibitisha unachosema. Usiwajazie maneno mdomoni hao unaodai. Bure kabisa
Una haki na uhuru wa kufikiria chochote kama takwa la Katiba yetu!Wewe si msema kweli ni mbwabwajaji wa Lumumba Fc..
wanamtambua ila hawawezi sema.Unataka nithibitishe nini?
Kwa hiyo unasema UKAWA hawamtambui Rais Magufuli?
Hamna jk hakuanza hivi,jk akuanza kwa kupunguza matumizi na wachapakaz,af hyu hyo ndo tabia yake,wala hagezi,nadhani mnamjua
Acha maneno mengi,thibitisha unachosema. Usiwajazie maneno mdomoni hao unaodai. Bure kabisa