Burungutu la pesa
Senior Member
- Feb 21, 2015
- 117
- 32
Hakika naanza kuona taifa jipya la Tanzania baada ya kazi kuanza, naona jicho la tatu la wote waliopendekeza na kumpigia kura Rais John P. Magufuli.
Bila ya kuwepo kwa hatua ambazo Rais Magufuli anazichukua.....tusingeanza kuhisi mabadiliko.ila k, a sasa kazi zimeanza kuonekana.
Hongereni mliooona mbali kiasi hicho.
Bila ya kuwepo kwa hatua ambazo Rais Magufuli anazichukua.....tusingeanza kuhisi mabadiliko.ila k, a sasa kazi zimeanza kuonekana.
Hongereni mliooona mbali kiasi hicho.