Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Karibu chama dola achana na hao jamaa sera zao ni kutuonesha sura yamaa flani kanakwamba sisi ni watoto.

Wellcome CCM our lovely camanda
 
Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.
Unafanana mwandiko na Gentamycine au labda ni mapacha.
 
Ukawa hawana vision zaidi ya umaarufu watakaoupata baada ya kuwa wabunge!
 
Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.
Ukumbuke mpaka sasa hivi mwenye maono ya Tanzania ni rais, ningekuelewa ukisema kuwa unamuunga rais mkono kwa juhudi mbalimbali anzazozifanya, maana sina uhakika kuwa kile anachokitaka Rais wanzake wanakijua au wanafuata nyuma, rais amejipambanua wazi kabisa kuwa siasa hazina nafasi sasa kinachosisitizwa si aina ya chama kilichopo bali ni nini unafanya kwa ajili ya kuinasua Tanzania kutoka mkwamo wa kifikra na kubaini ukombozi uliopo ili Taifa lisonge mbele.
 
Buku saba zimekuondolea aibu.

Kila siku unajulikana wewe ni mwanaCCM kindakindaki; halafu leo unajifanya unahamia tena CCM.
 
hongera sana mkuu kwa maamuzi ya kibinadamu. achana na hao manyang'au wasiojielewa.
 
Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.
Kama umeshawishika kuhamia ccm
Huo ni utashi wako
Naomba uelewe kuwa utashi wa kupenda chama sio wakuvutana {kuomba kuungwa mkono}
Bali ni waamuzi wa MTU mmojammoja katika fahamu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…