Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Nenda mwana unaweza kupata ubunge viti maalumu vya rais nafasi zimebaki 2 wanawake
 
Huyu Troll anaigiza mbona ni sisiemu muda huyu. Kuna rafiki yko kanipa na majina halisi yako ntayaweka hapa
 
Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.

Umesahau kuvaa mzee.

Rudi kwanza uangalie post zako za awali, halafu utukumbushe ni lini ulihama ccm ili tujue kwamba kweli unarudi.

Unafiki ni mauti ya fedheha!. Ona sasa uanvyodhalilika!
 
Buku saba zimekuondolea aibu.

Kila siku unajulikana wewe ni mwanaCCM kindakindaki; halafu leo unajifanya unahamia tena CCM.
Unataka kujifanya umesahau kafulila alivyotangaza kuhamia Chadema Mara mbili?
 
Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.
Ulichelewa kuhamia! Kilalaheri!
 
Hongera kwa kuamua kwenda kuganga njaa. Humu posts zako zinakusuta maana zinaonyesha hukuwahi hata siku moja kuwa UKAWA. Ukipata uDC usisahau kuleta mrejesho kwamba juhudi zako za kuandika pumba humu zimezaa matunda na hivyo umepewa ulaji kama DC.

Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.
 
Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.
kwani ulikuwa na kadi ya chama kingine?
 
Kuanzia Leo kwaheri UKAWA nimehamia Rasmi CCM kutokana Utendaji wa Rais Magufuli

Nawashauri Vijana wenzangu pia mnifuate huku tuepuke siasa za Kilaghai kwa kweli nilihadaika sana sasa nimeamua kujiunga CCM Rasmi.
Karibu kwetu.Nyumbani ni nyumbani hata kama tunalalia mchunga.
 
Back
Top Bottom