Weak point Madam/SirHuyu jpm jamani mi namadimire sana. Amewasambalatisha wezi wote kiasi ambacho nchi sasa imeparaganyika kila mtu amechanganyikiwa yaani hawaamini kinachotokea mpaka wanafikili ni nguvu ya soda bado ipo Siku atalegeza.
Wauza unga wote wameamua kuwalipa vijana ili kumuattack mitandaoni na kumtukana ovyo ovyo wakiongozwa na chadema ambacho kimebadili gia tena na kuanza kuwatetea wauza na watumia madawa kuwa wako sahihi.
Upinzani haujaamini haya yanayotokea kama yangetokana na ccm ambayo walikuwa wameshainyooshea mikono juu.
Wapinzani akiwemo zitto wameshikwa na bumbuazi mpaka na wao wanatukana ovyoovyo mitandaoni.
Wakiwemo wezi Wa vyeti...Wezi wote chaliiii na bado...
Kwenye jumuia huwezi kukomesha wizi bali unaweza kuweka jicho la karibu (where there many people you can not stop stealing instead control)Huyu jpm jamani mi namadimire sana. Amewasambalatisha wezi wote kiasi ambacho nchi sasa imeparaganyika kila mtu amechanganyikiwa yaani hawaamini kinachotokea mpaka wanafikili ni nguvu ya soda bado ipo Siku atalegeza.
Wauza unga wote wameamua kuwalipa vijana ili kumuattack mitandaoni na kumtukana ovyo ovyo wakiongozwa na chadema ambacho kimebadili gia tena na kuanza kuwatetea wauza na watumia madawa kuwa wako sahihi.
Upinzani haujaamini haya yanayotokea kama yangetokana na ccm ambayo walikuwa wameshainyooshea mikono juu.
Wapinzani akiwemo zitto wameshikwa na bumbuazi mpaka na wao wanatukana ovyoovyo mitandaoni.
Kwa hiyo akili yako imekutuma wachaga na wahaya ndio wezi nchi hii? na eti wahaya hawawzi kufanikiwa ni kweli hiyo?MAGUFULI KARUDISHA TRAIN KWENYE MATARUMA! MAANA HII NCHI ILIKUWA IMEACHA RELI!!
Miaka ya nyuma kidogo, ninadhani kama 1995, wakati mmoja Wachaga wawili na Mhaya mmoja walikwenda kuiba pale Morogoro. Kufika pale wakavunja mlango wa godawuni wakaingia ndani, kumbe mle ndani kuna jamaa ana upanga. Basi wa kwanza kuingia ndani alikuwa ni Mchaga, yule jamaa akanyanyua panga kimyakimya na kumfyeka Mchaga kwenye mkono, nyama baadhi ya nyama za mkono zikamwagika chini, waaa!! Yule Mchaga akakohoa, khakakhaka!!! Kisha akatoka nje. Wenzie wakamuuliza, vipi? Akajibu nimeshaandaa mazingira, sasa hivi ni kwenda kusogeza karibu na mlango.
Kusikia hivyo akaingia na mchanga wa pili, jamaa akanyanyua panga na kufyeka tena, waaa!! Huyu Mchaga wa pili naye kimyakimya akarudi nyuma na kutoka nje. Yule Mhaya akauliza, vipi tena?? Jamaa akajibu sasa hivi ni kwenda kutoa mzigo nje.
Basi akaingia Mhaya, wala yule Mhaya hakukatwa, isipokuwa alilicheki panga likiwa hewani, yohoooo mawe ninakufaaaa!!!!!!! Ahahaha!! kwa ufupi ktk maisha huyu Mhaya hata siku moja hawezi akafanikiwa.
Maana zipo tabia! zipo roho zinazotembea na watu wanaotaka kutoboa ktk maisha, hawapigi kelele haraka, wala hawakati tamaa mapema! Ni watu gumegume! Wanasema kama mipango imeharibika basi tulia MUNGU yupo! Wanasema adui yangu niangukapo usifurahi maana ninainuka tena!!
Magufuli ametawala mwaka mmoja, bado miaka mingine tisa 9, wale wote wanaosema Magufuli amebana pesa kamwe hata akiondoka hawawezi kufanikiwa. Kama baba yako ni miongoni mwa wanaosema Magufuli kabana pesa, basi inabidi nikupe pole! Pole, Mwenyezi MUNGU kakujalieni mzazi mwenye kilema cha akili .
Lakini tuamini kwamba tuliumbwa ili tuwe matajiri, na ndiyo maana ukazaliwa nchi ya ki tajiri kama Tanzania, siamini kwamba utajiri utakuja ghafla, lakini ninaamini chini ya Magufuli mchakato umeanza, kimenuka!! Maana maisha ni mchakato.
Na masikini yeyote ana alama, na moja ya alama za ki masikini ni kukata tamaa mapema. Ninaomba usiwe miongoni mwa watu wanaokata tamaa mapema.
Kutajirika kuna kanuni zake, na mojawapo utajiri huwa mtu anaanza kuupata akifikisha miaka 45, na kuendelea. Unaweza ukapata pesa ukiwa na miaka 22 tuu! Lakini huo sio mfumo rasimi uliowekwa na Mwenyezi MUNGU. Mfumo rasimi ni miaka 45.
Ya bashiteIvi mnatumiaga makalio kufikiri?
Mi nataka akae madarakan zaidi ya Mugabe.....Mh Rais wala usihofu wala kutetereka.
2020 lazima tukupe kura za ndiyo, uzuri wake kura hizo hazipigwi humu JF. Humu JF wamejaa watu wasiyokwenda hata kupanga mistari ya wakati wa kupiga kura. Wengi humu JF maneno mengiiiiiii lakini hata kujiandikisha huwa hawajiandikishi, wakijiandikisha kura hawapigagi.
Mh Rais nidhamu angalau imerudi, kaza tena ili nidhamu iwe 100%.
Mh Rais watu tulizoe figisufigisu nyingi kwenye utafutaji pesa ( Rushwa, Dawa za kulevya, Wizi fedha za serikali, miradi feki, utekelezaji kazi feki, uchakachuaji, n.k) ndiyo maana mijihela haramu kibao ilija mtaani. Asante kwa kutusaidia kupata CLEAN MONEY.
Magufuli forever 2015-2025, ikiwezekana tutakuongezea tena 10 years ukae madarakani mpaka 2035.
Siyo kosa lako kuandika hivyo. Wewe hasa ndiye mlengwa kwenye hii vita ya kujenga Taifa la wastaarabu. Baada ya kukosa unga na viroba, akili itakurudiaMabadiliko my foot!
Ova
Haya utasubiri sana.Ahaaaa mie nilidhani
Ajira
Maboresho ya watumishi
Afya
Maji Elimu