Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Achana Na Hayo Madawati
Habari Kubwa Daudi Albert BashiteOnyeshaVyeti
 
wakuu kuna uzi humu ulikuwa unabainisha ya kwamba JPM hatafanya lolote katika kipindi cha miaka mitano, me kuna mambo anayoyafanya yananiboa ila kwa mazuri anayo yafanya nampongeza pia. kwa upande wangu mazuri ambayo JPM,, ashafanya ni, kuondoa tatizo la kihstoria la wanafunzi kukaa chini kisa kukosa madawati, kupunguza tatizo la kihistoria la ukosefu wa mabweni UDSM, kufufua shirika la ndege sasa kuna bombardierq400 uku kuna oda ya ndege nne,SC300,Q400,unaweza kupitia mwenyewe kujionea kwenye web ya bombardier, pia oda ya BOEING787(dreamlinear) japo watu wanabeza lakini zikitua mwaka kesho litakuwa jambo jema, ujenzi wa ubungo flyover, jumaa tatu anaweka jiwe la msingi na ujenzi unakamilika 2020, ujenzi wa standard gauge, juzi katibu mkuu wizara ya fedha alizibitisha kuwa wameshalipa malipo ya awali ya bilioni300,jiwe la msingi wanaweka mwezi ujao. so sio kweli hatafanya kitu kuna vitu atavifanya na atakumbukwa mfano kuamisha serikari dodoma, mabaya yake ni udikteta uchwara, kunyima wanafunzi mikopo na ajira za kusuasua. mtu akifanya vizuri mpongezi
Umemaliza?
 
Uliye anzisha uzi huu ndiye mshika bango kwamba hajafanya chochete kitendo cha kuanzisha 'thread' ya namna hii ni uchochezi tosha
 
Kwanini tunasema fulani ni mbaya? Ni kwasababu mabaya yake yamezidi mazuri. Na ndivyo ilivyo kwa mzuri. Je unaamini Idd Amin hakuwa na mazuri yake?
 
weee hilo la madawati kaa kimya njoo shuleni kwetu uone watoto wanavyokaa chini...

acha unafki tena hapa hapa dar
 
weee hilo la madawati kaa kimya njoo shuleni kwetu uone watoto wanavyokaa chini...

acha unafki tena hapa hapa dar
shule gani uitaje me mbona kila kitu nimekitaja itaje, na manspaa yake na uzuri nko dar
 
anajengewa standard gauge na ma flyover ndo saizi yake uliza jingine
[QUOE="wasumu, post: 20225599, member: 336213"]Je kapuku atapanda hizo ndege ? Simple question[/QUOTE]
 
shule gani uitaje me mbona kila kitu nimekitaja itaje, na manspaa yake na uzuri nko dar
halafu ili iweje zunguka manispaa zote hapa dar hakuna shule isiyo na ukosefu wa madawati labda zile za mjini za zamani
 
Back
Top Bottom