Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa hiyo?Hajafanya mambo ya msingi ndio maana hao watumishi wake wamemchagua Tundu lisu
Umemaliza?wakuu kuna uzi humu ulikuwa unabainisha ya kwamba JPM hatafanya lolote katika kipindi cha miaka mitano, me kuna mambo anayoyafanya yananiboa ila kwa mazuri anayo yafanya nampongeza pia. kwa upande wangu mazuri ambayo JPM,, ashafanya ni, kuondoa tatizo la kihstoria la wanafunzi kukaa chini kisa kukosa madawati, kupunguza tatizo la kihistoria la ukosefu wa mabweni UDSM, kufufua shirika la ndege sasa kuna bombardierq400 uku kuna oda ya ndege nne,SC300,Q400,unaweza kupitia mwenyewe kujionea kwenye web ya bombardier, pia oda ya BOEING787(dreamlinear) japo watu wanabeza lakini zikitua mwaka kesho litakuwa jambo jema, ujenzi wa ubungo flyover, jumaa tatu anaweka jiwe la msingi na ujenzi unakamilika 2020, ujenzi wa standard gauge, juzi katibu mkuu wizara ya fedha alizibitisha kuwa wameshalipa malipo ya awali ya bilioni300,jiwe la msingi wanaweka mwezi ujao. so sio kweli hatafanya kitu kuna vitu atavifanya na atakumbukwa mfano kuamisha serikari dodoma, mabaya yake ni udikteta uchwara, kunyima wanafunzi mikopo na ajira za kusuasua. mtu akifanya vizuri mpongezi
Ajitathimini maaanake ? Hauwez kununua panga boy watu wanalia njaaa ...mwafAaaaaazK
wa hiyo?
sawa gwajimaAchana Na Hayo Madawati
Habari Kubwa Daudi Albert BashiteOnyeshaVyeti
analeta dreamlinear sasa sjui utasemajeAjitathimini maaanake ? Hauwez kununua panga boy watu wanalia njaaa ...mwafAaaaaaz
analeta dreamlinear sasa sjui utasemajeAjitathimini maaanake ? Hauwez kununua panga boy watu wanalia njaaa ...mwafAaaaaaz
nimemaliza kukuUmemaliza?
Je kapuku atapanda hizo ndege ? Simple questionsasa
analeta dreamlinear sasa sjui utasemaje
shule gani uitaje me mbona kila kitu nimekitaja itaje, na manspaa yake na uzuri nko darweee hilo la madawati kaa kimya njoo shuleni kwetu uone watoto wanavyokaa chini...
acha unafki tena hapa hapa dar
Kwa akili za kijinga kama hizi lazima hapo kwenu wakae chini kweliweee hilo la madawati kaa kimya njoo shuleni kwetu uone watoto wanavyokaa chini...
acha unafki tena hapa hapa dar
halafu ili iweje zunguka manispaa zote hapa dar hakuna shule isiyo na ukosefu wa madawati labda zile za mjini za zamanishule gani uitaje me mbona kila kitu nimekitaja itaje, na manspaa yake na uzuri nko dar
sawa ubarikiweeKwa akili za kijinga kama hizi lazima hapo kwenu wakae chini kweli
sawa
dada wa lowasa
Hivi ndio vichwa na akili za kibashite.sawa
dada wa lowasa