REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,313
- 1,852
Fikra mgando kama zako ni hatari hata katika mipango yako ya kujiletea maendeleo.
nishachoka kuona movie za kikorea serikalini,ni mtazamo tu pengine nipo sahihi au lah kuwa huru ,huku mtaani vijana hawana kazi wanakaba wakisema HAPA KAZI TU