Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata mm naungana na wewe.
Duh, kuna watu kweli wanajua kujifariji....naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema
Rais wetu apewe ulinzi mkubwa. Wazalendo wa kweli wa nchi hii wanataka maendeleo ya kweli. Wanataka uozo uliopo katika jamii yetu utokomezwe kwa kasi. Viongozi wamekuwa kama miungu watu. Wezi ndio wanapewa nafasi katika taasisi zetu. Waadilifu katika nchi hii ni kama hawatakiwi. Wahuni tu wanapewa madaraka makubwa kwa kujipendekeza kwa viongozi. CCM kumeoza kwa sababu ya kubebana. Serikali nako kumeoza kwa kuwa CCM kumeoza. Taasisi za CCM zimeoza hazina viongozi wa maana wamejaa wababaishaji. Taasisi za serikali nazo zimeoza kwakuwa wanawekwa watu wasio na uwezo. Asilimia 90 ya wakuu wa wilaya hawana uwezo. Uozo uko pia kwenye halmashauri. Halmashauri zimekuwa kitovu cha ulaji. Nchi hii ni lazima ikombolewe kutoka kwa viongozi mafisadi. CCM ijisafishe na serikali nayo isafishwe.
Ata mm naungana na wewe.
Ata mm naungana na wewe.
Magufuli kwa ustadi kabisa kaanza kwa kasi kutekeleza ilani ya chadema kama kukataa misafara, kufuta sherehe za kipuuzi na kuelekeza pesa kwenye jamii, kinachofata sasa Magufuli futa kile kibatari cha kichawi wakati tukisubiri ahadi yako ya
laptop kwa kila mwalimu
mil 50 kwa kila kijiji
ujenzi wa Reli
ufufuaji wa viwanda na ajira mil 1.5 kila mwaka.
naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema
Magufuli kwa ustadi kabisa kaanza kwa kasi kutekeleza ilani ya chadema kama kukataa misafara, kufuta sherehe za kipuuzi na kuelekeza pesa kwenye jamii, kinachofata sasa Magufuli futa kile kibatari cha kichawi wakati tukisubiri ahadi yako ya
laptop kwa kila mwalimu
mil 50 kwa kila kijiji
ujenzi wa Reli
ufufuaji wa viwanda na ajira mil 1.5 kila mwaka.
naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema
Magufuli kwa ustadi kabisa kaanza kwa kasi kutekeleza ilani ya chadema kama kukataa misafara, kufuta sherehe za kipuuzi na kuelekeza pesa kwenye jamii, kinachofata sasa Magufuli futa kile kibatari cha kichawi wakati tukisubiri ahadi yako ya
laptop kwa kila mwalimu
mil 50 kwa kila kijiji
ujenzi wa Reli
ufufuaji wa viwanda na ajira mil 1.5 kila mwaka.
naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema
Kama wewe unasimamia ilani shauri yako,sisi tunacho angalia ni kazi.