Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kama pale bandarini katemesha mzigo watu kibao yani.ila tutaheshmiana tu awamu hii!
 
Namuombea Mungu, huu ni zaidi ya ukarimu na nina amini tutafika mbali hata ukikanyaga nchi nyingine baada ya miaka kadhaa tutatembea kwa mbwembwe
 
Moderator mnanionea sana! Uzi wangu ni tofauti sana na huu ila mmeuunga pamoja na huu mchezo wa kila uchambuzi wangu mnaunganisha sio fair! Tuambiane mnataka nani awe mchambuzi na nani hamtaki?
 
Last edited by a moderator:
Sleeping giant is now awake lazima wataisoma namba tulizalauliwa sana as a nation
 
Magufuli kwa ustadi kabisa kaanza kwa kasi kutekeleza ilani ya chadema kama kukataa misafara, kufuta sherehe za kipuuzi na kuelekeza pesa kwenye jamii, kinachofata sasa Magufuli futa kile kibatari cha kichawi wakati tukisubiri ahadi yako ya
laptop kwa kila mwalimu
mil 50 kwa kila kijiji
ujenzi wa Reli
ufufuaji wa viwanda na ajira mil 1.5 kila mwaka.

naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema
 
Ndio hivyo amemjibu Nape kuwa mahakama ya mafisadi iko palepale
 
Rais wetu apewe ulinzi mkubwa. Wazalendo wa kweli wa nchi hii wanataka maendeleo ya kweli. Wanataka uozo uliopo katika jamii yetu utokomezwe kwa kasi. Viongozi wamekuwa kama miungu watu. Wezi ndio wanapewa nafasi katika taasisi zetu. Waadilifu katika nchi hii ni kama hawatakiwi. Wahuni tu wanapewa madaraka makubwa kwa kujipendekeza kwa viongozi. CCM kumeoza kwa sababu ya kubebana. Serikali nako kumeoza kwa kuwa CCM kumeoza. Taasisi za CCM zimeoza hazina viongozi wa maana wamejaa wababaishaji. Taasisi za serikali nazo zimeoza kwakuwa wanawekwa watu wasio na uwezo. Asilimia 90 ya wakuu wa wilaya hawana uwezo. Uozo uko pia kwenye halmashauri. Halmashauri zimekuwa kitovu cha ulaji. Nchi hii ni lazima ikombolewe kutoka kwa viongozi mafisadi. CCM ijisafishe na serikali nayo isafishwe.

Tuendelee kumuombea ila na wakuu wa vyombo vya usalama tafadhal tunawaomba wamuongezee ulinzi.......haiwezekani rais mzima anamsafara wa magari mawili tu......juzi nilipitwa na msafara wake pale red cross had nikaogopa.........hebu tunawaomba watulindue rais wetu jamani!!!
 
Magufuli kwa ustadi kabisa kaanza kwa kasi kutekeleza ilani ya chadema kama kukataa misafara, kufuta sherehe za kipuuzi na kuelekeza pesa kwenye jamii, kinachofata sasa Magufuli futa kile kibatari cha kichawi wakati tukisubiri ahadi yako ya
laptop kwa kila mwalimu
mil 50 kwa kila kijiji
ujenzi wa Reli
ufufuaji wa viwanda na ajira mil 1.5 kila mwaka.

naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema

yaan kwetu sisi wa tz iwe kaichukua ilani ya ACT...CCK...CDM au yoyote ile sisi maadam anapiga kaz hasa ya kupambana na ufisadi na mafisadi........tunampa big up sana kamanda wetu wa mapambano........all the best sir Pombe.
 
Hiv kwan chadema mna ilani!!?? mbona hatujui hata kava lake tu!? achen kujifariji. Ni ACT pekee ndo tulimkabidhi ilani Mh. Rais na ndo anaipitia na kuitekeleza.. Lkn si mlisema hamumtambui!? iweje mtu msiyemtambua atekeleze ilani yenu ya kufikirika!?????
 
Mkuu kwani ukimkubali tu bila kusema hayo ya ilani ya CDM umesikia kuna mtu atakuona msaliti?? Naona ninyi CDM mmeanza kuelewa sasa!!
 
Kama wewe unasimamia ilani shauri yako,sisi tunacho angalia ni kazi.
Magufuli kwa ustadi kabisa kaanza kwa kasi kutekeleza ilani ya chadema kama kukataa misafara, kufuta sherehe za kipuuzi na kuelekeza pesa kwenye jamii, kinachofata sasa Magufuli futa kile kibatari cha kichawi wakati tukisubiri ahadi yako ya
laptop kwa kila mwalimu
mil 50 kwa kila kijiji
ujenzi wa Reli
ufufuaji wa viwanda na ajira mil 1.5 kila mwaka.

naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema
 
Magufuli kwa ustadi kabisa kaanza kwa kasi kutekeleza ilani ya chadema kama kukataa misafara, kufuta sherehe za kipuuzi na kuelekeza pesa kwenye jamii, kinachofata sasa Magufuli futa kile kibatari cha kichawi wakati tukisubiri ahadi yako ya
laptop kwa kila mwalimu
mil 50 kwa kila kijiji
ujenzi wa Reli
ufufuaji wa viwanda na ajira mil 1.5 kila mwaka.

naiona ilani ya magamba iko kabatini huku ikitekelezwa ya chadema

Naona pole pole mnaanza kumtupia chooni JIPU KUBWA LOWASSA
 
Back
Top Bottom