Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wakenya wanalilia MUUNGANO baada ya mavituzi ya Magufuli, eti wenzetu wanaenda Zenji kumwaga sumu MUUNGANO uvunjike! shame on you Ukawa
 
Ati Magufuli ni pombe aende kutoa kenyatta lock! Ha ha ha😂
 
Na kazi inaendela kwa kasi. Hapa Kazi tu. Maneno maneno mwiko.
 
Yaan nyumbu huwa wanapinga kila kitu,haya sasa mlikuwa mnawasifia wakenya kuwa wako smart ila na wao ndio hawa wanamsifu magufuli.
 

Attachments

  • 1448357781054.jpg
    1448357781054.jpg
    54.2 KB · Views: 202
Mbwembwe tu......can crdb open a branch in Kenya????!!!!
TUACHE SIFA ZA KIJINGA
 
Kama hadi sasa bado hutaki kutambua, kuheshimu na kuukubali utendaji kazi wa Magufuli, basi namna yako ya kufikiri itakuwa na walakini
 
Wakenya wanalilia MUUNGANO baada ya mavituzi ya Magufuli, eti wenzetu wanaenda Zenji kumwaga sumu MUUNGANO uvunjike! shame on you Ukawa

dah bongo tuna watu vichwa ngumu sana ulichopost kinahusiana nn na hii mada? kapime IQ ikiwa juu ya 50 ntakupa fanta!
 
Naona na baraza la mawaziri bado sana, tusubiri kwanza safu ya DC na RC mawaziri atafanya kama mbabe wa Nigeria baada ya miezi 7
 
Back
Top Bottom