Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Na mimi he is assured of my vote.Ni mjinga tu asiyemuunga mkono JPM.
 
Kwa jinsi anavyoumia kuona rasilimali za Tanzania zinavyochezewa. Kweli ni naanza kumwelewa rais wangu mpendwa.
 
na mimi naona uchungu wake ila nahisi kuna watu wanampa matumaini makubwa kupitiliza kwenye maushauri yao...i hope he succeeds.
 
Nyani haoni kundule lake!
Huyu mkulu anapata kitu gani kizuri kutoka kwa Bashite ambapo mama Jesca hana?
Lete vyeti ulivyonavyo wewe vinavyoonesha jina la bashite,then ndio uongee upuuzi wako,usishikwe maskio
 
Tumpe muda kidogo, bado raia wanalia maisha magumu!

Kufukuza watu kazi haimpi raia wa kawaida unafuu wa maisha
 
Kwako number 1 wetu mwenye uchungu na nchi hii,nakuomba kanyaga twende baba wewe kanyaga tu nasema kanyaga twende. Kama hawaamini waambie container zipo Dar wawalete wachunguzi wao tupime upya pamoja.

Number 1 Tanzania nzima ipo nyuma yako Kanyaga twende. Sio lazima tufike wote,
Ndio maana hata nyumbu anaejitenga na wenzie huliwa na Simba mwituni.
Twende baba.
 
Pamoja na u-Lumumba wako, sentensi moja umeisema ya maana: Kama hawaamini waambie container zipo Dar wawalete wachunguzi wao tupime upya pamoja. Kuondoa uhasama hapo umesema kweli.
Tukubaliane technique ipi tuitumie kupima contents za madini kwenye mchanga! Equal representation of experts kwenye maabara hiyo tutakayoichagua. Then each side can come out to claim kuibiwa/kutoibiwa. Short of that tutalumbana sana na ACACIA
 
Pia kumbuka kamati ilisema kuna container chache zimepewa ulinzi wa kutosha maana zina zaidi ya mchanga mle ndani.
Katika hili la U-lumumba sio kweli,mm ni mwana nchi mwenye uchungu kiasi naweza tapika kwa haya madudu yanayo endeleya nchini kwetu.
 
Hili hata Mimi naunga mkono hoja.
 
Pia kumbuka kamati ilisema kuna container chache zimepewa ulinzi wa kutosha maana zina zaidi ya mchanga mle ndani.
Katika hili la U-lumumba sio kweli,mm ni mwana nchi mwenye uchungu kiasi naweza tapika kwa haya madudu yanayo endeleya nchini kwetu.
Mambo ya kanyaga kanyaga tunayaona kwa akina Lizaboni & Co. Ltd! Pole if misconception on you!
 
je wakisema izo container tokea zimeshikiliwa mmeadd mambo yenu kwani nani anayelinda c serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…