Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Miaka miwili sasa tangu ash WANAHAMISHWA. SASA HII NI SPIRIT MPYA NA YA KUPIGIWA MFANO. ENDELEA HIVYO HIVYO MHESHIMIWA. TUPO NYUMA YAKO
Kupigania nafasi ya ukuu wa mkoa wa Kilimanjaro duuuh lumumba kazi ipo
 
Kwamfano faida gani akitengua huwa inapatikana
 
Kama kichwa kinavyo jieleza, Hakuna watanzania wazelendo Zaid ya MY FAVORITE PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI wengine wote walio baki wasaka tonge tu. Tanzanian people tunapenda sana matatizo ndo vitu tunavyo vipa vipaumbele badara ya maendeleo, hatupendi vitu vya postway hata siku moja sijui mukoje ndomana tunazid kuibiwa.
My take.. Tujitaid kujikubali wenyewe acheni ushabiki wa kusaka tonge tu Na kujuiona mna hela kumbe mnauwa watoto wenu Na wazazi wenu..
John Haule Pesambili
 
Mtu mwenye akili timamu atakubaliana na mimi watu wanaompinga Rais wana agenda binafsi na hili sionsiri tena inakumbukwa kipindi cha JK hawa watu walifanya maisha ya JK kuwa magumu kutokana na kutumiwa na watu fulan kupinga sera za serikali.

Hatuwezi kuendelea kuwa na viongoz wasaliti nakuwaita wanasiasa wanapost mambo yakushangaza sana. Kiasi inafika mahali tunajiuliza utaifa wao maana hawaeleweki.

Mimi naomba tusilale vyombo vya usalama kamata hawa na muwahoji ili tujuwe nani anawatumia na kwa faida ya nani. Zipo tetesi pesa zao huzipokelea nje ya nchi au upata zawadi nono kwa kuipinga serikali na kuyatetea makampuni.
 
Tulia uandike vizuri. Sasa haya maneno; "sionsiri, Mm, aerikali" yana maana gani wewe buku 7?
 
Hata akivurunda asipingwe? Kwani yeye ni Malaika kwamba hakosei? Kwa taarifa yako, Dereva wa Lori amefanya makosa mengi sana kuliko mambo aliyopatia hadi sasa. Apingwe tu.
 
Raising mwenyewe anastahili kuchunguzwa katika haya anayokurupukaga
 
Mkuu raisi ni binadamu hivyo kupingwa ni haki kabisa, asiyepingwa ni Mungu tu na sio mwingine. tena ni makosa kutokumpinga. Walipingwa Manabii na Mitume wa Mungu, hata mwanae wa pekee Yesu Kristo alipingwa hadi kuuwawa.
 
Boss TumainiEl Kuongoza Watu 40m na zaidi sio kazi ndogo. Hapo kumbuka kuna aina mbali mbali za Watu. Inahitajika Moyo wa Uvumilivu, Hekima, Busara vya hali ya juu. So usifikirie atapendwa na Watu wote na vile vile usifikirie atachukiwa na Watu wote. Yeye achape kazi tu. Atapimwa na atakacho Deliver. Mkumbushe 2020 haipo mbali.

 
Baada ya Rais Magufuli kuzindua mfumo utakaotumika kulipa kodi hapa nchini ni dalili tosha kuwa serikali inaelekea kuthibiti ukwepaji wa kodi za ndani uliokuwa ukifanywa na makampuni makubwa.
Kwa muda mrefu serikali ilikuwa ikitegemea mapato yake katika makusanyo ya kodi za bidhaa zinazoagizwa kutoka nje (Importation) ndio maana kila meli zikipungua bandarini ilikuwa inasababisha TRA kushindwa kufikia malengo.
Faida ya mfumo huu mpya nikwamba makampuni makubwa yatalipa kodi,kwa uhalisia wa biashara zao itakuwa ni vigumu kwa kampuni hizi kudanganya tena. Kwa muda wa miaka mingi watanzania wenye biashara ya kipato cha chini na watumishi walioajiriwa ndio walikuwa walipa kodi wakubwa. Makampuni haya makubwa yalikuwa yakitumia mbinu mbali mbali ili mfumo huu usifanye kazi hapa nchini lakini kwa ujasir wa Rais Magufuli kuiona nchi hii ikipata kodi zake kama inavyotakiwa alihakikisha mfumo unaanza mara moja.
Mfumo huu mpya utakapoanza kazi ndio Watanzania wataona jinsi makampuni ya ndani jinsi,yalivyokuwa yakikwepa kodi.
Nampongeza Rais Magufuli kwa kuigeuza taifa letu kutoka kuwa shamba la Bibi na kuwa shamba la Watanzania.
 
Sasa ni dhahiri kabisa kuwa jina la magufuli halikamatiki kwenye Media mbalimbali hasa hapa jamiiforums kila muda lazima ianzishwe thread kumhusu mkuu wa nchi either kwa mabaya au kwa mema, pia kwenye media mbalimbali kama redio na magazeti je huu umaarufu ni wa kupendwa au ni wa mabaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…