The Chosen One
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 3,579
- 17,011
Hiyo sanamu yenyewe tutapigwa pesa kuliko hata acacia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chato mkuu aweke pale postaHuyu anavyopenda sifa haitafika 2020 bila kujenga lisanamu lake kule chato
Kwa ninavyo mfahamu Magufuli hawezi tokeaHiyo sanamu yenyewe tutapigwa pesa kuliko hata acacia
Wajenzi wawe Malasusa, Pengo na shehe mkuuHivi Watanzani tunasubili nini kujenga Sanamu ya Rais Magufuli na kuiweka Posta.Tukichelewa kujenga Sanamu wenzetu Kenya watawahi na kusema anatoka nchini kwao.Naomba tuungane Katika hili Watanzani.
Nawasilisha
Posta watalibomoaSio chato mkuu aweke pale posta
Mdogo wangu siasa kamari viongozi wanamiliki betting company afu wananchi ndo wanabetiKwa ninavyo mfahamu Magufuli hawezi tokea
Ni kivutio cha utalii?Hivi Watanzani tunasubili nini kujenga Sanamu ya Rais Magufuli na kuiweka Posta.Tukichelewa kujenga Sanamu wenzetu Kenya watawahi na kusema anatoka nchini kwao.Naomba tuungane Katika hili Watanzani.
Nawasilisha
Ya kawaida hayo.ngoja ngoja kwanza,Kwa haya anayoyafanya kwa sasa Tanzania maana ilionekana ni kitu kigeni
Hapana mkuu kila nchi ambayo kiongozi wao amefanya mambo mazuri huwa wanajenga Sanamu kwa hapa Tanzania ni MagufuliSanamu itusaidie nini? Tuanze kumuabudu? hapana, tukiguswa na matendo yake tumrudishie Mungu utukufu.
Ngoja ngoja huumiza matumbo tufanye sasa ili yeye mwenyewe ajuwe kuwa tupo nyuma yakeWazo lako linaweza kuwa zuri
Subiri ahitimishe mission zake.
Kwani yote aliyoanzisha ajafikisha kwenye matokeo tarajiwa
Usichanganye usabato hapa wew kwahyo sanamu zingne mpka hko kwa wazungu mbna zpo na ndpo ambako waliyaandika unayoyatamkaMAANDIKO YANASEMA USIJIFANYIE SANAMU YA KUCHONGA YA KITU CHOCHOTE KILICHO JUU AU CHINI ARDHINI
Samahan mkuu ni maandiko sio mimi wala usabato unaosemaUsichanganye usabato hapa wew kwahyo sanamu zingne mpka hko kwa wazungu mbna zpo na ndpo ambako waliyaandika unayoyatamka