Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wakuu siwezi pitisha siku bila kutaja jina la mweshimiwa Rais nadhani uwa anajing'ata sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nasali kila siku zaidi ya mara moja na siachi kumtaja shetani kama namna ya kumshitakia kwa Mungu.
Naliitia jina la Bwana Mungu wa Majeshi saana tu wakati wa maombi na meditations zangu.
Yesu anahusika sana na Roho mtakatifu.

Kumbuka na shetani anatajwa pia.

Inategemea jina linatajwa kwa nia ipi: njema au mbaya?
 
Mimi nasali kila siku zaidi ya mara moja na siachi kumtaja shetani kama namna ya kumshitakia kwa Mungu.
Naliitia jina la Bwana Mungu wa Majeshi saana tu wakati wa maombi na meditations zangu.
Yesu anahusika sana na Roho mtakatifu.

Kumbuka na shetani anatajwa pia.

Inategemea jina linatajwa kwa nia ipi: njema au mbaya?
Kweli kabisa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani Mungu amchukue
2ee2e48d8a09286002d8fe391c5eb543.jpg

Ongea na mshana jr mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli huyu ndiye rais niliyemsubiri kwa miaka mingi sana. Sikuhizi yule jamaa yangu aliyekuwa anafanya kazi pale halmashauri ya manispaa ya kinondoni simuoni tena. Yaani yeye alikuwa anatembepea maeneo mawili tu. Kwenye ATM na BAR. Anajifanya eti yuko serikalini ndo maana hafanyi kazi. Na kama wiki hivi sijamwona alafu nikimpigia simu anasema yuko busy. ***** ngoja aje amkute hayuko apigwe chini ntacheka alafu hata hana nyumba.
Magufuli hebu mtembelee na huyu umfinye kidogo ajifunze kuishi kwa kuchubuka kama sisi
Mkuu ni sawa Magufuli anafanya kazi nzuri,lakini umeandika kwa chuki sana,hii sio nzuri.
 
Dah.... Tunampenda hivyohivyo[emoji41]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
Huo ulinzi ni ishara ya:
Kutojiamini?
Kujua afanyacho so cha heri/haki?
Matumizi mabaya ya mamlaka?
Kiburi/fahari?
Ulimbukeni?
ASUBIRI SIKU "ISRAELI" atakapomjia kama watamsaidia! Marehemu mtarajiwa kama wengine asiye n.a. hofu ya Mungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
 
Nimeona huko Kigoma amefungua uwanja mpya wa ndege, barabara za lami kila wilaya, traffic lights huko kasulu, shule na walimu wa kutosha.
Hongera JPM kwa huu kufikia 2019 Kigoma itakuwa jiji maana kufika kwako Kigoma tayari shida zote zimeisha.

Sisemu hoyeeeeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom