Sana sana mabayaKwa jinsi maisha yalivyo magumu na anayesababisha kwa kiwango kikubwa asilimia 60% ya watanzania kila siku somewhere lazima wataje jina la MAGU labda kwa mazuri au mabaya
Mimi nasali kila siku zaidi ya mara moja na siachi kumtaja shetani kama namna ya kumshitakia kwa Mungu.Wakuu siwezi pitisha siku bila kutaja jina la mweshimiwa Rais nadhani uwa anajing'ata sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilienda juzi . Halafu, vyeti vyako nimeviokota vikiwa na kadi yako ya kliniki.
Kweli kabisa mkuuMimi nasali kila siku zaidi ya mara moja na siachi kumtaja shetani kama namna ya kumshitakia kwa Mungu.
Naliitia jina la Bwana Mungu wa Majeshi saana tu wakati wa maombi na meditations zangu.
Yesu anahusika sana na Roho mtakatifu.
Kumbuka na shetani anatajwa pia.
Inategemea jina linatajwa kwa nia ipi: njema au mbaya?
Rais Magufuli ndiye baba wa taifa letu kwa sasa kumtaja sio jambo la ajabu. Hata mimi siwezi kumaliza siku bila kumtaja baba yangu mzazi na bila kumpigia simu.Wakuu siwezi pitisha siku bila kutaja jina la mweshimiwa Rais nadhani uwa anajing'ata sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yako mzazi yupo hai bado?Rais Magufuli ndiye baba wa taifa letu kwa sasa kumtaja sio jambo la ajabu. Hata mimi siwezi kumaliza siku bila kumtaja baba yangu mzazi na bila kumpigia simu.
mshana jr mkuu kitambaa chekundu jogoo mweusi pini sindano na nini niongee nataka tumpige mtu tuta mkuu
Mkuu ni sawa Magufuli anafanya kazi nzuri,lakini umeandika kwa chuki sana,hii sio nzuri.Kweli huyu ndiye rais niliyemsubiri kwa miaka mingi sana. Sikuhizi yule jamaa yangu aliyekuwa anafanya kazi pale halmashauri ya manispaa ya kinondoni simuoni tena. Yaani yeye alikuwa anatembepea maeneo mawili tu. Kwenye ATM na BAR. Anajifanya eti yuko serikalini ndo maana hafanyi kazi. Na kama wiki hivi sijamwona alafu nikimpigia simu anasema yuko busy. ***** ngoja aje amkute hayuko apigwe chini ntacheka alafu hata hana nyumba.
Magufuli hebu mtembelee na huyu umfinye kidogo ajifunze kuishi kwa kuchubuka kama sisi