Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mtake radhi marehemu kwa kumfananisha na bwana yule

Send via Quan dong fen from north Korea
 
Unaikombo nchi kwa kutumia ripoti za maprofesa wale?!

Unaikomboa nchi kwa kuvunjia watu nyumba?

Unaiokomboa nchi kwa kuua ajira?

Unaiķomboa nchi kwa kunyima wanafunzi mikopo kwa vigezo vya ajabu ajabu?

Unaikombo nchi kwa kutelekeza watumishi wa umma?

Unaikomboa nchi kwa kunyang'anya watu ardhi na mashamba kwa visasi na chuki za kisiasa?

Unaikomboa nchi kwa kuua demokrasia na kukamata hovyo wapinzani?

Unaikomboa nchi kwa kutisha vyombo vya habari?

Unakomboa nchi kwa kuwambia wananchi wenye njaa wafe kwa njaa?

Unaikomboa nchi kwa kufanya maamuzi yanayoligharimu Taifa kila wakati?

Mleta mada wahi mirembe!!
 
Angalia libya leo then ndo utajua kama gadaffi alikuwa anafanya kwa uroho wa madaraka au kwa ajili ya walibya hiyo kauli yako ukiitamka leo libya utapigwa mawe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo alikuwa anafanya kwa uroho km huyu anayewatumia watu wamsifie humu kwa kubomoa nyuma za watu.
Ghadafu ni mpu...mbafu mmoja asiyejielewa na asiyeelewa nyakati.
Wala hana hekima na busara ni sawa huyu mlevi unayemtolea thread kila siku kumsifia.
Unafikiri kwann Nyerere na Mandela waliachia madaraka? Wao walikuwa hawapendi kuongoza muda mrefu?
Kuna nyakati ikifika lazima uachie madaraka tu,Ghadafi angeachia madaraka angepungukiwa nn?
Huyo mlevi unayemsifia kila siku anaipa hasara Tanzania. Na sasa hivi kaanza kubomoa nyumba za watu
 
Kosa pekee la Maghufuli ni kuongoza akiwa ndani ya CCM, walewale walioiuza nchi kwa wazungu, kwa bei ya kutupa mrabaha wa 3% kwa miaka 100 [emoji85] [emoji85] . Na ni kwa hali hiyo hata aliyoyakusudia kuyafanya hawezi kuyafanya kwa vile waliyoyavurunda ndiyo waliomwingiza madarakani.

Democracy si adui wa maendeleo, bali ni uoga tu wa watawala kuogopa vivuli vyao kama tunavyoshuhudi hapa Tz. Maendeleo bila democracy tutarudi kule kule alikofika Gaddafi. Kwa sababu uhuru wa mawazo ni muhimu ktk jamii yoyote.

Cairo's
 
Gaddafi alikuwa anawajengea nyumba na kuwalipa pesa za kujikimu wananchi wake.

Magufuli anawabomolea nyumba na kuwatukana wananchi wake.


Ukomee kumfananisha Gaddafi na Dikteta Uchwara.
 
Kwann mkuu nisikupe like?? Uyu mwehu kabisa anayeweka ugolo wake hadharan na adharauliwei, hakuna maendeleo ya kweli bila demokrasia, analojua yeye ni kujikombakomba tu makalioni mwa wakubwa, MTU kama uyu km si kumpuuza basi alaaniwe milele..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gaddafi alikuwa anawajengea nyumba na kuwalipa pesa za kujikimu wananchi wake.

Magufuli anawabomolea nyumba na kuwatukana wananchi wake.


Ukomee kumfananisha Gaddafi na Dikteta Uchwara.
ili upate maendeleo ya kwel lazima upitie transition period lazima ujenge miondombinu mizuri lazima wachache waumie kwa manufaa ya wengi kwa ajili ya kesho angalia nchi zote zilizoendelea angalia china jinsi ilivyoendelea njoo uangalie germany angalia hata marekani then ndo uongee yanayoendelea Tz
Gaddafi alikuwa anawajengea nyumba na kuwalipa pesa za kujikimu wananchi wake.

Magufuli anawabomolea nyumba na kuwatukana wananchi wake.


Ukomee kumfananisha Gaddafi na Dikteta Uchwara.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mumeshindwa kufanya hayo kwa miaka zaidi ya 50, sasa mtaweza kwa miaka 5??

Uwe unajipanga ukitaka kuleta upuuzi hapa
 
Reactions: PNC
Hauna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: PNC
HAKIKA MANENO haya kwa sababu,kama tungeliendelea hivi ingelikuwa nchi ambayo mtu anayefanya kazi halali ni wa kudharaulika,na mpiga dili ndiye wakuheshimiwa.Kila zama na kitabu chake lakini hiki kinasomeka vyema.
 
Nidhamu imerudi kwa kiwango kikubwa hasa kwa watumishi wa umma,hakuna tena hata ule usemi unajua Mimi Ni nani?.....huduma Ni kwa wakati tofauti na kipindi cha nyuma!
 
Reactions: UCD
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…