Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,871
- 1,237
inapigwa mabomuAwamu ya tano Sheria sio kipaumbele, wanajenga Nchi kwa akili zao kichwani,
Kesi zako mahakamani, huku Serikali wanafanya yao wayatakayo, Mwanasheria akitetea anaepingana au kutuhumiwa na Serikali sio mzarendo.
Ukihoji mchochezi, katiba inakuruhusu kuhoji,
Sheria Awamu hii tupa kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app