KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Wakina lissu hao
Wanapinga adi vitu vya maana
Wanachukulia kila kitu ni debate
Wanapinga adi vitu vya maana
Wanachukulia kila kitu ni debate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani yeye kafikia viwango vya Mussa? Mussa ni Mteule wa Mungu lakini yeye ni mwanasiasa tu, tena aliipata nafasi hiyo baada ya mizengwe ya kisisa ndani ya chama chake!Hata maandiko yanasema Musa alikataliwa na wana wa Misri. Ila Tutafika tu na tutafanikiwa.
Ninawasi wasi na akili yako lazima umejazwa na magu ndo mana unajivunia sana! so bure wewe[emoji24] mana wanaomlamba miguu niwengi sana naona nawewe nimiongoni. Yani unakuta kabisa wanajua kua hapa tunaumizwa na huyu mtawala lakini bado wanatetea eti oooooh! Hapo kafanya vizuri bhana! Uku mioyo yao unalalama ndani kwa ndani[emoji3]acheni unafiki bhana! Jitambueni jaman, jikomboeni kifikra! Tanzania inaelekea shimoni sasa kama mtaendelea kuifata shaurienu[emoji24]Ulipewa akili na Mungu ya nini? Unataka ibuniwe kazi ya kufanya?
... na matokeo ya hayo malengo yake makubwa ni watu kubeba pesa zinazojaa kwenye kikapu wanapokwenda kununua mboga tu sokoni....Mugabe mwenyewe ana malengo makubwa na Zimbabwe,
Heeeh! We ndio umejua leo? Una kichwa kizito!Yoyote yule anayebeza juhudi za Dr Magufuli toka ameingia madarakani 2015 basi ni lazima mtu huyo atakuwa na tatizo la akili.
Dr Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watanzania wanafanyakazi kwa juhudi zote, wala rushwa wanashughulikiwa, mafisadi wanasumbuliwa, pesa ya umma unatumika kama ilivyopangwa, miradi yote inamalizima kwa wakati.
Kwasababu hatupendi kufanya kazi na tumezoea mteremko basi tunamuona Dr Magufuli ni mwiba mkali.
Dr Magufuli ana malengo makubwa na Tanzania wengi haoni kwa sasa.
Kilo ngapiHeeeh! We ndio umejua leo? Una kichwa kizito!
Anafanya mambo mazuri ila yafuate taratibu, ili tuwe na viwanda tuanze na elimu kwanza tuiboreshe. Siasa isiingie kwenye taalumaYoyote yule anayebeza juhudi za Dr Magufuli toka ameingia madarakani 2015 basi ni lazima mtu huyo atakuwa na tatizo la akili.
Dr Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watanzania wanafanyakazi kwa juhudi zote, wala rushwa wanashughulikiwa, mafisadi wanasumbuliwa, pesa ya umma unatumika kama ilivyopangwa, miradi yote inamalizima kwa wakati.
Kwasababu hatupendi kufanya kazi na tumezoea mteremko basi tunamuona Dr Magufuli ni mwiba mkali.
Dr Magufuli ana malengo makubwa na Tanzania wengi haoni kwa sasa.
ID AMIN ALIPOINGIA UGANDA KAMA RAIS ALISHANGILIWA NA KILA MTU KWA HAKI NA KWA WOGA. ALIMUA BENEDICT KIWANUKA AG NA ASKOFU MKUU MMOJA. ALIWACHUKIA WAHINDI AU WAASIA WAFANYABIASHARA.ALIWATWANGA RISASI WAPINZANI WAKE NA WOTE ALIOHISI WANAMPINGA. WAGANDA HAWAKUJUA KUWA WAMEINGIA KWENYE DICTATORIASHIP REGIME. HISTORIA HUWA INAJIRUDIA.NASIKITIKA KUWA UNASHINDWA KUTUMIA ZAWADI YA AKILI KUANGALIA MAMBO KWA JICHO PEKENYEVU.YOU MUST LEARN HOW TO JUDGE ISSUES IN VERY LOGICAL MANNER.Vipi kuhusu maknikia,mahakama ya mafisadi,million 50 kila kijiji. HIVI MADIWANI MNAVYONUNUA MNALIPA VAT??? Biashara ya MADIWANI INATAKIWA UWE NA MTAJI KIASI GANI?? WAZEE WA RAMBIRAMBI WIKI IJAYO TETEMEKO LITATOKEA KAENI MKAO WA KULA RAMBIRAMBI!Yoyote yule anayebeza juhudi za Dr Magufuli toka ameingia madarakani 2015 basi ni lazima mtu huyo atakuwa na tatizo la akili.
Dr Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watanzania wanafanyakazi kwa juhudi zote, wala rushwa wanashughulikiwa, mafisadi wanasumbuliwa, pesa ya umma unatumika kama ilivyopangwa, miradi yote inamalizima kwa wakati.
Kwasababu hatupendi kufanya kazi na tumezoea mteremko basi tunamuona Dr Magufuli ni mwiba mkali.
Dr Magufuli ana malengo makubwa na Tanzania wengi haoni kwa sasa.
Ashaanza kumeza dawa zake ?Yoyote yule anayebeza juhudi za Dr Magufuli toka ameingia madarakani 2015 basi ni lazima mtu huyo atakuwa na tatizo la akili.
Dr Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watanzania wanafanyakazi kwa juhudi zote, wala rushwa wanashughulikiwa, mafisadi wanasumbuliwa, pesa ya umma unatumika kama ilivyopangwa, miradi yote inamalizima kwa wakati.
Kwasababu hatupendi kufanya kazi na tumezoea mteremko basi tunamuona Dr Magufuli ni mwiba mkali.
Dr Magufuli ana malengo makubwa na Tanzania wengi haoni kwa sasa.
tuanze na wewe lete choo yako hiyo tuipime😕😉Yoyote yule anayebeza juhudi za Dr Magufuli toka ameingia madarakani 2015 basi ni lazima mtu huyo atakuwa na tatizo la akili.
Dr Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watanzania wanafanyakazi kwa juhudi zote, wala rushwa wanashughulikiwa, mafisadi wanasumbuliwa, pesa ya umma unatumika kama ilivyopangwa, miradi yote inamalizima kwa wakati.
Kwasababu hatupendi kufanya kazi na tumezoea mteremko basi tunamuona Dr Magufuli ni mwiba mkali.
Dr Magufuli ana malengo makubwa na Tanzania wengi haoni kwa sasa.
Ile tu kuona wanaarusha na kwingineko wananyang'anywa madiwani kwa njia ya hila/rushwa huku akijua uchaguzi wa marudio wa kata hizo utagharimu mamilioni ya walipa kodi kumempunguzia sana credit Rais wetu. Katika hili alipaswa kukemea vikali hii tabia wa wanaccm waliochini yake ya kufanya uhalifu huo.Kazi hutaki kufanya unategemea nini...
Wewe unayejitambua umefanya nini?Ninawasi wasi na akili yako lazima umejazwa na magu ndo mana unajivunia sana! so bure wewe[emoji24] mana wanaomlamba miguu niwengi sana naona nawewe nimiongoni. Yani unakuta kabisa wanajua kua hapa tunaumizwa na huyu mtawala lakini bado wanatetea eti oooooh! Hapo kafanya vizuri bhana! Uku mioyo yao unalalama ndani kwa ndani[emoji3]acheni unafiki bhana! Jitambueni jaman, jikomboeni kifikra! Tanzania inaelekea shimoni sasa kama mtaendelea kuifata shaurienu[emoji24]