MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Raisi anafanya mambo mengi vizuri. Ila yale amabayo analalamikiwa ayafanyie kazi pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutume ukamshawishi mkuu?Naunga mkono hoja.
Tena nimependekeza, uchaguzi wa 2020, usifanyike, rais Magufuli aendelee tuu moja kwa moja, na 2020, kama miradi mikubwa ya SGR na Stiggler haijakamilika, then tumuongeze muda, tumpatie muda wa kutosha endelee tuu mpaka akamilishe kuifanya Tanzania ni nchi ya maziwa na asali.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
P.
Unafanya kazi gani dada.Mishahara hailipwi on time hiyo nchi yenye maziwa na asali itatoka wapi?
Acha ajineemeshe yeye huku akiwadanganya anabana matumizi
We jamaa unapaka mafuta kwa mgongo wa chupaNaunga mkono hoja.
Tena nimependekeza, uchaguzi wa 2020, usifanyike, rais Magufuli aendelee tuu moja kwa moja, na 2020, kama miradi mikubwa ya SGR na Stiggler haijakamilika, then tumuongeze muda, tumpatie muda wa kutosha endelee tuu mpaka akamilishe kuifanya Tanzania ni nchi ya maziwa na asali.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
P.
Weka cv yako hapa tuone elimu yako mi nahisi umesomea matusi na serikali haina ajira za watukanaji nenda kabadili kozi uje uajiriwe lakini kwa sasa ajira za watukanaji ziko chadema na kkkt**** ya mama ako wee, wasomi tumejazana mtaan hizo ajira kaztoa mama ako kwa baba ako usiku??,
Mambo mazuri hayataki haraka, subiria, 2020, utashuhudia Tanzania ya uchumi wa kati, Tanzania ya viwanda na uchumi wa gesi, utashuhudia mabomba yatatoa maziwa na asali, nchi mzima.Mishahara hailipwi on time hiyo nchi yenye maziwa na asali itatoka wapi?
Acha ajineemeshe yeye huku akiwadanganya anabana matumizi
Hivi umeshirikisha ubongo wakati unaandika?, sasa kama yote hayo yapo situtakuwa tushaipita hata Marekani? Fikiri kwanza. Huyu hawezi kumaliza yote hayo labda apewe miaka 25 kuongoza lakini kwa 5 years ama 10 years hawezi kuwa keshatimiza hayo yote uliyoyataja brother.tutampima kwa matokeo kama vifaa vya kutosha mahospitalini, madawa ya kutosha, wafanyakazi wa kutosha hasa elimu na afya, vitendea kazi vya kutosha mashuleni, wanafunzi wenye sifa elimu ya juu wote wanapata mikopo, barabara nzuri, maji salama, umeme wa uhakika, uchumi wa mtu mmoja mmoja umekua n.k hatutampima kwa ziara maofisini
mkuu usiiweke kkkt hapa, ntakuchefuaa,Weka cv yako hapa tuone elimu yako mi nahisi umesomea matusi na serikali haina ajira za watukanaji nenda kabadili kozi uje uajiriwe lakini kwa sasa ajira za watukanaji ziko chadema na kkkt
Atakuwa na file mirembe huyu au anendelea na dozi c bureJpm kaleta maendeleo makubwa sana. Wananch wa hali ya chini wanafurahia maisha yao tofauti na kipindi cha jk.
Kipindi cha jk migodini tu watu walikuwa wnafunikwa na kufa kimya kimya pale bulyanhulu kana kwamba serikali haipo. Kodi zimeondoka hivyo hada baba yangu anayelima kijijini anapata faida.
Ameleta heshima ya msomi japo ajira bado changamoto. Serikalini walikuwa wamejaa ambao hawana vyeti na hewa na ndo hao walikuwa wakitudharau wasomi kuwa siku hizi kusoma ni kupoteza mda tu.
Mi nakumbuka niliajiliwa na mtu mmoja darasa la saba lakini anafanya kazi benki ya posta kama manager. Alikuwa anatutukana hadharani magraduates kuwa hatuna akili kumbe alikuwa hana akili.
Leo hii pale kampala university wamemwaga ajira kama mvua mana zilikuwa zimezibwa na wasiofaa tunaofaa tuko mtaani tu wala jk hajari.
Kwanza nikisikia unamsema vibaya jpm nakuchapa hata kosa. Graduates were nothing but they are slowly becoming something.
Akina mwaka na hawa wengine wa herbal clinics walikuwa wanawdharau sana madaktari waliosomea. Leo madaktari wako betteroff na akina mwaka wamekimbia nchi.
Nchi ilikuwa imeoza kila kona halafu hata wachungaji uchwara wameemerge na kuwadanganya watu kuwa maendeleo ni tatu mzuka na si kufanya kazi kwa juhudi. Leo hii wanaanza kutapatapa angalia akina gwajima jawalopoki tena mana watu wana akili sasa hawadanganya jpm kawafungua akili. Angalia kanisa la kweli linalosisitiza kazi linavyoflourish i.e roman catholic
Nimeelewa zaidi namba tatu,aki vile umenifanya nitabasamNimecheka hapo namba Tatum[emoji3][emoji3][emoji3]