Roman Israel Esq
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 2,024
- 3,281
Sio wrote ndugu.Umeandika nn sasa ,,wasukuma bwaana sijui huwa mnafikili kwa kutumia m*****o...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] asante sana Professorfanya editing kidogo kwenye maelezo yako.
Hakuna wa kuongwa kwa sasa bandugu. Madiwani zaidi ya 70 mmesema wameongwa mna ushahidi sijui mmeishia wapi??!!!!! Vijana wengi wanaojitambua kwa sasa wamejaa uzalendo wa kweli nakuhakikishia. Watamlinda na kumtetea rais wao kipenzi kwa namna yoyote ile dhidi ya wafitini na mabaradhuli wasiojitambua juu ya taifa lao.Haya kachukue buku 7 yako mmeshikwa pabaya mnaweza hata kuchanganyikiwa
Kwendraaaaaaa na ujinga wakoHakuna wa kuongwa kwa sasa bandugu. Madiwani zaidi ya 70 mmesema wameongwa mna ushahidi sijui mmeishia wapi??!!!!! Vijana wengi wanaojitambua kwa sasa wamejaa uzalendo wa kweli nakuhakikishia. Watamlinda na kumtetea rais wao kipenzi kwa namna yoyote ile dhidi ya wafitini na mabaradhuli wasiojitambua juu ya taifa lao.
Tumekusikia Catherine MagigeMajungu,uzushi,porojo na takataka kibao. Aibu walionayo sasa wamegeuza gia maisha yako hatarini kutuondoa kwenye uzushi kutupeleka kwenye hofu ya movie. Kila movie mtatoa lakini mwamba anapiga kazi. Upigaji dili haurudi kamwe. Kuleni mapesa ya wakoloni mamboleo tuko imara kumlinda
Alivyoongea lazima atakuwa ni Kei tu, akiwa me basi lazima wanampakata.Tumekusikia Catherine Magige
This time we will fight for our president![emoji106]Majungu,uzushi,porojo na takataka kibao. Aibu walionayo sasa wamegeuza gia maisha yako hatarini kutuondoa kwenye uzushi kutupeleka kwenye hofu ya movie. Kila movie mtatoa lakini mwamba anapiga kazi. Upigaji dili haurudi kamwe. Kuleni mapesa ya wakoloni mamboleo tuko imara kumlinda
Yani mi natamani ajue kiasi gani watu wengi tuko nae na daima tutakuwa pamoja naye hivyo asitetereke kwa namna yoyote ile na vizabizabina wenye chokochoko na chuki tu dhidi ya taifa lao wasiolitakia mema wala mini. Akaze buti na aongeze zaidi maana naona kama amepooza sana siku hizi. Piga kazi baba JPM tendea haki kura zetu za juani na mvuani baba. Taifa litasonga tu watake wasitake. Asiyekukubali akiona inamkera aende tu kwa dada yake mange.Waselavi kama hawa ndio wanaomtia kichwa rais
Haya kachukue buku 7 yako mmeshikwa pabaya mnaweza hata kuchanganyikiwa
fanya editing kidogo kwenye maelezo yako.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] asante sana Professor
Who will fight? you policemen? [HASHTAG]#jingakabisa[/HASHTAG]This time we will fight for our president![emoji106]
Ndivyo mnamdanganya kama walivyomdanganya "Saddam wa Kuwait" pamoja na Gaddafi😀This time we will fight for our president![emoji106]