Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Record ya mauaji, kejeli, udicteta, ufisadi, ubaguzi, ukanda au record gani?

Tueleweshe tafadhali!
 
Watanzania daini katiba mpya na tume huru CCM itoke vinginevyo mtapata tabu Sana
 

Kiwanda cha juice ya miwa ni sawa na kiwanda kinachotengeneza Azam mango juice!
 
Nilivosoma heading ikanifanya niingie kwenye content ila nilivosoma hoja yako ya kwanza nikawa nimeuona upeo wako WA kufikiri unapoishia,,,,,,,,pole sana
 
Baadhi ya mambo yanakwamishwa na mbwa koko lakini tutashinda
 

Mbowe utamkumbuka kwa lipi!
 
listi ya vi
listi ya viwanda ni kubwa kwa hapa haitatosha, maaana ww ukiwa na printer moja na computer nyingi kiwanda. ukiwa na jiko la kuchomea chipsi ni kiwanda, mama ntilie ni kiwanda na hata kinyozi ni kiwanda

utaorordhesha wangapi

kwa kweli Magufuli ni Rais ataewacha historia hilo halina ubishi ila sijui historia itakua in positive or negative? time will tell
 
Mkuu basi tuko vzuri kwa viwanda....naona mpk sahv dunia tunaongoza kwa viwanda

Ova
 
Huu ni utaahira uliopitiliza, Jamani mnamtia rais aibu kwa sifa za kijinga,
Kwani ni Rais gani ktk Africa asiyefanya aya?
Aya ni mambo ya kawaida na ni wajibu wa rais kuyafanya maana analipwa km mwajiriwa yoyote yule,taja kitu unique alichofanya hata kukumbukwa nje ya uliyotaja
 
Wadau
Serikali ya JPM imethibitisha ubora wake kwa kutoa Tshs Bilioni 23 kila mwezi Kugharamia Elimu Bure kwa Watanzania nchi nzima.
Hiyo ni sehemu tu ya mambo mengi makubwa na mazuri yanayofanywa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Mzalendo nambari moja na Kiboko ya Mafisadi
Viva JPM
Viva CCM
 
Tangu Uhuru Tulikua Na Hospitali Za Wilaya 77.
Kwa Miaka 2 Na Nusu Ya Rais Dkt Magufuli Ametoa Tsh Bilioni 105 Kwajili Ya Hospitali Za Wilaya 67 Zinajengwa.
Kati Ya Vituo Vya Afya 517,Vituo 115 tu Ndio Vilikua Vinatoa Huduma Za Upasuaji.
Kwa Miaka 2 Na Nusu Ya Dkt Magufuli Vituo Vya Afya 208 Vinawezeshwa Kufanya Upasuaji.
Hongera Sana Kwa Serikali Ya Serikali Ya Awamu Ya Tano.
 
Ngoja na mimi nijitahidi kureply kilumumba,niupate u-DC.

Kweli haya ni maajabu,hongera sana rais wetu,wewe ni mkombozi wetu tangu kuumbwa kwa Tanzania. Unatenda maajabu nami siwezi kueleza,ni nani kama wewe rais wetu?ni nani? Tumepata jembe,tunakuunga mkono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…