Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwasababu Hatutaki kusoma na kutafuta taarifa basi taarifa yoyote lazima tutaishangilia Sana aiseee, trust me.
 
Kumbe Kumsifia mh. Rais ni sehemu ya kazi za msigwa
 
We ulifikiri elimu ingegharimiwa kiasi gani?
Acha kujipigia debe!
 
Elimu bure huku Walimu wanakufa njaa, ni upuuzi. Nilichogundua Serikali ya CCM inafanya mambo ambayo inajua hayawezi kufanya Elimu yetu iwe bora ili ujinga uendelee maana ni mtaji wao.
 
Aliyesema tuna IQ ndogo hajakosea, hapo ulipo au jirani si kuna Walimu? Waulize hio pesa Kama inafika kwa wakati na kama Inatosha. Kwa kukusaidia tu, inafika kwa kuchelewa na ikifika ni WASTANI wa shilingi Mia tano (500) kwa kila Mwanafunzi. Hapo hujataja Mlinzi, Admin cost na mengineyo! Tuendelee kujifariji.
 
Jaribuni angalau kudadisi c kila ki2 mnameza km ilivyo hata km akisema malaika
 
Kiongozi wetu wa malaika
 
Tatizo lenu mnatumia outdated propaganda,lazima uelewe kuwa hiyo 'elimu bure' inagharamiwa na kodi za wananchi so kimsingi sio bure,na sio hisani.Alafu watu huwa hawajisifii kwenye vitu vya wajibu,huwezi ukasimama sehemu ukajisifu kuwa familia yako inakula,inapata malazi na watoto wanakwenda shule,huo ni wajibu wako.utasifiwa ama kujisifia iwapo tu utafanya zaidi,uta over deliver,mfano kama kula wale vyakula bora wakati wote,malazi nayo yawe bora kuliko kawaida,na kwenye elimu vivyohivyo,watoto wawe wanasoma shule bora zaidi,na wanapata elimu bora above avarage ama zaidi.
 
Elimu bure huku Walimu wanakufa njaa, ni upuuzi. Nilichogundua Serikali ya CCM inafanya mambo ambayo inajua hayawezi kufanya Elimu yetu iwe bora ili ujinga uendelee maana ni mtaji wao.
Huo ndo ukweli,wajinga ndio mtaji wao.
 
Halafu mjinga kama huyu utakuta anaishi mjini kwa kupiga mizinga tu.
 
Mbona ilianza kufanya Maajabu mengi tu, kama Kuokota Vichwa vya Treni Bandarani, kuzuia pesa za Rambimbi, na hata 1.5 Trillion imetoweka kimaajabu kabisa kama ripoti ya CAG ilivyojieleza na hata Rais wetu ni wa Ajabu haijawahi tokea.
 
Hivi 1.5 Trillioni ukiigawanya kwa tu23B inatosha kutoa elimu bure miaka mingapi??? nauliza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…