Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Huyu ndiye Rais tuliyemsubiri kwa miaka mingi kwa sasa yupo na ataendelea kuwepo hadi 2025 panapo uhai. Hupendi kunywa sumu ufe. Endeleeni kutengeneza movie zisizo na mvuto
Aisee wekaga na dp basi maana maneno yanatakiwa yafanane na mtu isijekuwa hauna hata sura? 🙄
 
Utanyooka tu hata ukiwa nje ya nchi. Ndugu zako mafisadi huku wananyoshwa pole mkuu!!
Utanvyooka ww zuzu unayeshabikia ujinga wa ccm. miaka 60 ya Uhuru. bdo tuna watu wenye akili mgando kama zako, kweli nimeamini mtaji wa ccm nu watu wajinga kam
 
Wazungu waliitawala Africa ikabidi watumie fimbo na mijeledi kuongoza ngozi nyeusi...Africa inahtaji viongozi wakatili na wenye roho mbaya bila hivyo utajikuta unavuna mabua....Maghufuli ndo mtu sahihi kabisa kwa sasa... Wanaoleta chokochoko dawa ni kuwavunja mifupa....ila kwa waziri wa biashara na viwanda namshari ateue wazir mwingine mwijage hawezi kazi....
 
sasa niwaambie tu ndugu zangu wachaga ni kuwa JPM hamumuwezi ukijumlisha na kanisa lenu pendwa kkkt, mlete udini na ukabila JPM will become a winner,mnawajua wasukuma nyie? anzisheni propaganda zozote lakini msukuma ni msukuma tu hata kama umzushie kuwa ni mhutu amini
 
Huyu ndiye Rais tuliyemsubiri kwa miaka mingi kwa sasa yupo na ataendelea kuwepo hadi 2025 panapo uhai. Hupendi kunywa sumu ufe. Endeleeni kutengeneza movie zisizo na mvuto

Nilikuwa nataka ku...... Lakini naogopa...block.
 
Believe me, kila kitu lazima kithibitiwe!
Africa inateseka sana kwa ajili ya vitu vingi!
Hizo taasisi za dini zilizojaa walawiti zinamtesa Papa kila siku kwenda kuwaombea msamaha kwa wanaowalawiti? Kama hiyo taasisi iliyotajwa wao ni pesa tu kila siku migogoro ya dayosisi haishi
 
Mijizi mnayo huko na mlimsimamisha kugombea urais. Hii kauli ya mijizi ndio hulka yenu ya kuchafua na akija huko msafi. Sikuwekei picha kwa leo maana nyumbu hana kumbukumbu. Hata Lowassa mlimuita jizi kuu lakini mnaye huko. Fankuuro
Hivi hilo neno "fankuuro" unamaanisha nini? Na ulilenga kumwambia nani?
 
Huyu ndiye Rais tuliyemsubiri kwa miaka mingi kwa sasa yupo na ataendelea kuwepo hadi 2025 panapo uhai. Hupendi kunywa sumu ufe. Endeleeni kutengeneza movie zisizo na mvuto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ila kugombana na Taasisi za kidini ni kitu hatari sana kwa maisha ya kimwili na ya kiroho pia.
Kuna haja kubwa sana ya kutafuta kuwa na amani na watu wote Kila wakati maana kumfurahisha Kila mtu ni jambo ambalo kamwe haliwezekani
hiyo dhehebu ndo inajihusisha na siasa sababu wanatoa matamko mengi ya kijinga, acha wafanyiwe synchronization, watanyoka tu kama wali
 
Huyu ndiye Rais tuliyemsubiri kwa miaka mingi kwa sasa yupo na ataendelea kuwepo hadi 2025 panapo uhai. Hupendi kunywa sumu ufe. Endeleeni kutengeneza movie zisizo na mvuto
Kwani kuna mtu kasema asiwepo? Au kuna mtu kakuambia huyu sio Rais?
 
Aah wapi ndoto za mchana hizo. Hata bila kampeni anapeta tu. Ni walaini sana sasa hivi inapita bila mafuta

Unabisha nini!?, Namfahamu mwenyekiti wa CCM zaid ya unavofikiria.

Hivi unahabari alishawahi kuzima bungeni wakati wa utawala wa awamu ya tatu kwa tatizo la moyo, Rais Mkapa akamsafirisha kimya kimya hadi Ujerumani kwa matibabu???.

Kaka mwenyekiti wenu kimeo ndo mana anaogopa kusafiri nje ya nchi akidhani wazungu watamfanyizia. Na kuna muda halali usingizi kwenye lile jumba jeupe akiogopa kupinduliwa.
 
Aah wapi ndoto za mchana hizo. Hata bila kampeni anapeta tu. Ni walaini sana sasa hivi inapita bila mafuta
"Inapita bila mafuta"...unapenda sana mambo ya kishoga? Kwa nini unatukana badala ya kujenga hoja? Kua mkuu! Wakati ni huu. Ipende na iheshimu JF ikulee kimawazo ya hali ya juu.
 
Back
Top Bottom