Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mwanaume mwenye akili za kisayansi hawezi msifia mtu hivi.

Acha na akiba ya maneno.
*JPM NI ZAIDI YA TUMJUAVYO*

Niungane na *Watanzania* Wengi kwanza Kumshukuru Mungu kwa Kutuinulia *Ndugu John Pombe Magufuli,* kama *Mwenyekiti* wa *CCM* Taifa, Sidhani kama katika Wakati Huu tunaweza Kuwa na *Mtu* wa Aina yake, Wengi wananielewa *ninachomanisha.*

*TATU BOMBA*
Katika Maisha ya *Siasa* nimejifunza kuwa *UZOEFU* ni Muhimu, lakini Hauwezi kuzidi *Ubunifu* , *Uweledi,* *Uthubutu* na *Utashi* wa *Kisiasa.*

Ingizo la *Ndugu Mizengo Peter Pinda* waziri Mkuu Mstaafu, na *Ndugu Makongoro Nyerere* sikuelewa Vizuri, ila alipopendekeza Jina la *Ndugu Dkt. Bashiru Ally Kakurwa* kuwa Katibu Mkuu wa *CCM* nilielewa huu utatu mtakatifu.

*KWANINI HAWA WATATU*
Tuanze na *Ndugu Pinda* , ukitazama viongozi wakuu wenye *Umri,* uzoefu na uadilifu ambae mienendo yake hata baada ya kumaliza kazi ya *Uwaziri Mkuu* utakubaliana na mimi kuwa Ndugu *Pinda* ni ingizo Sahihi ukiwaacha Marais wastafu, sisemi ni *Bora* kuliko wengine lakini *Haiba* yake inahitajika zaidi katika kushikilia *Dhana* ya Uzoefu kwenye *Chama* na *Serikali,* Uwepo wake utaisaidia CCM kwa miaka 10 ijayo.

*Ndugu Makongoro Nyerere*, wengi bado wanauliza Kaingia kufanya nini? Kwa wanaomjua *Makongoro* katika Siasa za *UDAMBWIUDAMBWI*, kama hunielewi Jiulize Kwanini Ndugu Wasira bado ana Nguvu kwenye CCM japo alikosa Ubunge kule Bunda, Sina maneno ya kuwaelezea hawa watu ila itoshe kusema kuwa *CCM* inahitaji watu wa Aina ya *Makongoro* ambao Wamezaliwa na kukulia ndani ya Misingi ya Chama cha *Mapinduzi*.

*UJIO WA DKT. BASHIRU CCM*
Ndugu *Magufuli* kama Ni kwenye Mpira wa Miguu amemudu kuucheza na kumaliza Dk 90 akiwa *Nyota* wa mchezo.
Ujio wa Dkt. Bashiru kama Katibu Mkuu wa CCM unasadifu Mambo Muhimu yafuatayo :-
1. Chama kimeanza kujenga safu ya Utendaji wa watu wenye *Uweledi wa Modern Politics* siasa za kisasa zinazohitaji Hoja na Sio kelele, *Dkt. Bashiru* kama wengi wakivyosema wamefundishwa nae Siasa pale Udsm na mimi nikiwa Mmoja wapo *2003-2006* , mbali na kuwa mwalimu wa Sayansi ya Siasa jambo zuri ni kuwa yeye ni Muumini wa Siasa za kumkomboa mtu Mweusi katika *Umajumui* wa Maendeleo.

*CCM* imeanza Kurudisha *Misingi* ya kuanzishwa kwake chama cha *Wakulima* na *Wafanyakazi* (hapa kwa Wafanyakazi ni pamoja na wafanyabiashara au mtu anaefanya kazi halali ya kumuingizia kipato) ambacho kinaanza Kuwavutia *Wasomi* wa Kati, kawaida na wale wa kiwango cha Juu.

2. Ccm Inaanza kuonekana kwa vitendo kuwa ni chama Cha *Wote* ili mradi uwe na Uweledi na Maarifa ya *Kuongoza,* haijalishi ulikuwa Nani Ccm Utapata fursa ya kusimama na Kuongoza, Hili limetimia kwa Dkt. Bashiru ambae mimi nimemjua mwaka 1998 akiwa mwenyekiti wa Tawi la Ccm *Abiyani* pale Ubungo, na zaidi ya Hapo wengi wamekuja kumuona akiwa Mwenyekiti wa Tume ya kuhakiki Mali za *CCM* , hakuwa mtu maarufu au *Mashuhuri* ndani ya *CCM*

Hii ni *Karata* nzuri katika Kuwaaminisha wananchi kuwa *Ccm* sio mali ya mtu au kikundi fulani Bali ni *Bidii* na maarifa yako tu, sasa naamini watu ambao ni *Wasomi* watagombea nafasi ndogo na za kawaida mfano kata z matawi, Wilaya na Mkoa.

3. Ujio wa *Dkt. Bashiru* unatoa fursa ya kuanza kushughulikia tatizo *SUGU* la matumizi mabaya ya *RASILIMALI* za Chama, yeye amezunguka Karibu nchi nzima ameona chama kikoje na kina nini, katika siasa za sasa suala la kujiimarisha *KIUCHUMI* ndio Agenda kubwa ambayo itaendelea kuleta Uhai wa chama mana uko mbeleni naona kila dalili ya kuondolewa au kupunguzwa kwa *Ruzuku* kwa Vyama vya Siasa mana zinatafunwa tu kama fedha za Capacity Charge kwa IPTL, Songas na Richmond.

*HITIMISHO*
Naomba nihitimishe kwa Kuwatazama watu wawili wakubwa kwanza ni Wana CCM wenzangu, na pili *Dkt. Bashiru*
Ndugu zangu wana CCM Tumepata Katibu Mkuu Mweledi, Mbunifu na Msomi najua wako *Majeruhi* baadhi waliofisadi Mali za chama najua hawa hawatamtaka kabisa Dkt. Bashiru watamkwamisha kila kona na *kumuhujumu* , mimi nasema hao mafisadi ni wachache sisi wanachama ni wengi hivyo mkae kimya kwa sasa muacheni *Katibu Mkuu* mpya afanye kazi, najua mtaibuka na *Agenda* zenu mfu kuwa Hakijui chama na Sio mzoefu, ila mjue siasa zimebadilika sasa ni siasa za hoja na Sio *Matusi* au kushambuliana, lakini mwenyekiti alishasema anataka kujenga *Ccm* mpya ndio hii sasa.

Kwako *Dkt. Bashiru,* wewe kwangu ulikuwa *Mwalimu* tuliona misimamo yako, *hukuogopa* na tunaamini uku utaendeleza zaidi.
Yako Mambo Mazuri unapaswa kujifunza kutoka kwa Mtangulizi wako *Ndugu Kinana,* yeye alikuwa kama *Kisima Jangwani* chukua *Mazuri* yake, endeleza pale alipoishia ila kubwa Endelea *Kujenga Umoja* , *Mshikamano,* *UTII* na *uadilifu* kwa Chama na wanachama, Wasaidie wenzako kufanya vizuri, na wale wanaofanya vizuri waendeleze *wafanye vizuri zaidi na zaidi* , Naamini katika Wewe, tutamuona *Mwalimu Nyerere* kwenye Chama, mana tumeshamuona Serikalini kupitia *Dkt. John Pombe Magufuli.*

Jua pia kuna *wanafiki* Wachache sana japo wana *Vinguvu* kwa Kiwango cha *PhD*

*Usiyumbe Wala Kuyumbishwa*

Wako katika Uzalendo
*Jerry C. Muro*
 
*JPM NI ZAIDI YA TUMJUAVYO*

Niungane na *Watanzania* Wengi kwanza Kumshukuru Mungu kwa Kutuinulia *Ndugu John Pombe Magufuli,* kama *Mwenyekiti* wa *CCM* Taifa, Sidhani kama katika Wakati Huu tunaweza Kuwa na *Mtu* wa Aina yake, Wengi wananielewa *ninachomanisha.*

*TATU BOMBA*
Katika Maisha ya *Siasa* nimejifunza kuwa *UZOEFU* ni Muhimu, lakini Hauwezi kuzidi *Ubunifu* , *Uweledi,* *Uthubutu* na *Utashi* wa *Kisiasa.*

Ingizo la *Ndugu Mizengo Peter Pinda* waziri Mkuu Mstaafu, na *Ndugu Makongoro Nyerere* sikuelewa Vizuri, ila alipopendekeza Jina la *Ndugu Dkt. Bashiru Ally Kakurwa* kuwa Katibu Mkuu wa *CCM* nilielewa huu utatu mtakatifu.

*KWANINI HAWA WATATU*
Tuanze na *Ndugu Pinda* , ukitazama viongozi wakuu wenye *Umri,* uzoefu na uadilifu ambae mienendo yake hata baada ya kumaliza kazi ya *Uwaziri Mkuu* utakubaliana na mimi kuwa Ndugu *Pinda* ni ingizo Sahihi ukiwaacha Marais wastafu, sisemi ni *Bora* kuliko wengine lakini *Haiba* yake inahitajika zaidi katika kushikilia *Dhana* ya Uzoefu kwenye *Chama* na *Serikali,* Uwepo wake utaisaidia CCM kwa miaka 10 ijayo.

*Ndugu Makongoro Nyerere*, wengi bado wanauliza Kaingia kufanya nini? Kwa wanaomjua *Makongoro* katika Siasa za *UDAMBWIUDAMBWI*, kama hunielewi Jiulize Kwanini Ndugu Wasira bado ana Nguvu kwenye CCM japo alikosa Ubunge kule Bunda, Sina maneno ya kuwaelezea hawa watu ila itoshe kusema kuwa *CCM* inahitaji watu wa Aina ya *Makongoro* ambao Wamezaliwa na kukulia ndani ya Misingi ya Chama cha *Mapinduzi*.

*UJIO WA DKT. BASHIRU CCM*
Ndugu *Magufuli* kama Ni kwenye Mpira wa Miguu amemudu kuucheza na kumaliza Dk 90 akiwa *Nyota* wa mchezo.
Ujio wa Dkt. Bashiru kama Katibu Mkuu wa CCM unasadifu Mambo Muhimu yafuatayo :-
1. Chama kimeanza kujenga safu ya Utendaji wa watu wenye *Uweledi wa Modern Politics* siasa za kisasa zinazohitaji Hoja na Sio kelele, *Dkt. Bashiru* kama wengi wakivyosema wamefundishwa nae Siasa pale Udsm na mimi nikiwa Mmoja wapo *2003-2006* , mbali na kuwa mwalimu wa Sayansi ya Siasa jambo zuri ni kuwa yeye ni Muumini wa Siasa za kumkomboa mtu Mweusi katika *Umajumui* wa Maendeleo.

*CCM* imeanza Kurudisha *Misingi* ya kuanzishwa kwake chama cha *Wakulima* na *Wafanyakazi* (hapa kwa Wafanyakazi ni pamoja na wafanyabiashara au mtu anaefanya kazi halali ya kumuingizia kipato) ambacho kinaanza Kuwavutia *Wasomi* wa Kati, kawaida na wale wa kiwango cha Juu.

2. Ccm Inaanza kuonekana kwa vitendo kuwa ni chama Cha *Wote* ili mradi uwe na Uweledi na Maarifa ya *Kuongoza,* haijalishi ulikuwa Nani Ccm Utapata fursa ya kusimama na Kuongoza, Hili limetimia kwa Dkt. Bashiru ambae mimi nimemjua mwaka 1998 akiwa mwenyekiti wa Tawi la Ccm *Abiyani* pale Ubungo, na zaidi ya Hapo wengi wamekuja kumuona akiwa Mwenyekiti wa Tume ya kuhakiki Mali za *CCM* , hakuwa mtu maarufu au *Mashuhuri* ndani ya *CCM*

Hii ni *Karata* nzuri katika Kuwaaminisha wananchi kuwa *Ccm* sio mali ya mtu au kikundi fulani Bali ni *Bidii* na maarifa yako tu, sasa naamini watu ambao ni *Wasomi* watagombea nafasi ndogo na za kawaida mfano kata z matawi, Wilaya na Mkoa.

3. Ujio wa *Dkt. Bashiru* unatoa fursa ya kuanza kushughulikia tatizo *SUGU* la matumizi mabaya ya *RASILIMALI* za Chama, yeye amezunguka Karibu nchi nzima ameona chama kikoje na kina nini, katika siasa za sasa suala la kujiimarisha *KIUCHUMI* ndio Agenda kubwa ambayo itaendelea kuleta Uhai wa chama mana uko mbeleni naona kila dalili ya kuondolewa au kupunguzwa kwa *Ruzuku* kwa Vyama vya Siasa mana zinatafunwa tu kama fedha za Capacity Charge kwa IPTL, Songas na Richmond.

*HITIMISHO*
Naomba nihitimishe kwa Kuwatazama watu wawili wakubwa kwanza ni Wana CCM wenzangu, na pili *Dkt. Bashiru*
Ndugu zangu wana CCM Tumepata Katibu Mkuu Mweledi, Mbunifu na Msomi najua wako *Majeruhi* baadhi waliofisadi Mali za chama najua hawa hawatamtaka kabisa Dkt. Bashiru watamkwamisha kila kona na *kumuhujumu* , mimi nasema hao mafisadi ni wachache sisi wanachama ni wengi hivyo mkae kimya kwa sasa muacheni *Katibu Mkuu* mpya afanye kazi, najua mtaibuka na *Agenda* zenu mfu kuwa Hakijui chama na Sio mzoefu, ila mjue siasa zimebadilika sasa ni siasa za hoja na Sio *Matusi* au kushambuliana, lakini mwenyekiti alishasema anataka kujenga *Ccm* mpya ndio hii sasa.

Kwako *Dkt. Bashiru,* wewe kwangu ulikuwa *Mwalimu* tuliona misimamo yako, *hukuogopa* na tunaamini uku utaendeleza zaidi.
Yako Mambo Mazuri unapaswa kujifunza kutoka kwa Mtangulizi wako *Ndugu Kinana,* yeye alikuwa kama *Kisima Jangwani* chukua *Mazuri* yake, endeleza pale alipoishia ila kubwa Endelea *Kujenga Umoja* , *Mshikamano,* *UTII* na *uadilifu* kwa Chama na wanachama, Wasaidie wenzako kufanya vizuri, na wale wanaofanya vizuri waendeleze *wafanye vizuri zaidi na zaidi* , Naamini katika Wewe, tutamuona *Mwalimu Nyerere* kwenye Chama, mana tumeshamuona Serikalini kupitia *Dkt. John Pombe Magufuli.*

Jua pia kuna *wanafiki* Wachache sana japo wana *Vinguvu* kwa Kiwango cha *PhD*

*Usiyumbe Wala Kuyumbishwa*

Wako katika Uzalendo
*Jerry C. Muro*
Rubbish
 
Anatafuta pa kuwekwa,kasahaulika eti,tatizo anatoka kaskazini
 
Magufuli na wewe uwe na huruma inamaana hawa kina jerry muro na lemutuz huwaoni au?,au teuzi zimekwisha?,haiwezekani vijana wanakusifia usiku na mchana alafu hauwapi ulaji.
 
Dume zima linaacha kusifia mkewe ndani linasifia wanaume. Ili bwabwa lina kazi sana. JPM muonee huruma huyu kijana, ana pata tabu sana, kiongozi wetu na malaika mpe kijana wako hata ukatibu mkuu wa wanawake wa CCM atulie
 
Huchoki tu miss Jerry na kusifia wanaume wenzio!!? Teuzi zishaisah dada nenda tu yanga kaokoe jahazi!!
 
Majitu ya aina ya Jerry Muro yanafaa kupapaswa makalio kutoka na uroho wa madaraka!
 
We jery wewe!. Yaani pambio lako haalitaskika manake we unatoka kibande ile. Halafu we ni mangi ya wapi una njaaa kiasi hicho kutwa kuchwa kusifia mwanaume mwenzio. Yaani baki huko huko kwa wanaume wa dar usije kabisa huku mndenyi. Itondo kapisa chaa !! Lanyeee!
 
*TIRIRIKA NA JOSEPH YONA AU YUSUPH YUNUS*

Napenda kuchukua fursa nyingine kuvipongeza vikao vya CCM taifa vilivyokasimiwa madaraka na Mkutano mkuu CCM taifa.
Hongereni wajumbe wa [HASHTAG]#HalmashauriKuu[/HASHTAG] [HASHTAG]#KamatiKuu[/HASHTAG] na [HASHTAG]#SekretarietTaifa[/HASHTAG] kwa vikao Muhimu vya siku Mbili,kuendelea kuijenga CCM Mpya(Chama pekee kilicho na matumaini na watanzania) na Tanzania Mpya.

Vikao hivyo vya Chama chenye Historia iliyotukuka barani Afrika na Duniani,Pamoja na Mambo mengine,Vimeridhia Ombi la siku nyingi la Kada na Katibu Mkuu wa CCM Komred Kinana kuomba kujiuzulu.
Lakini Pia wamefanikiwa kukamilisha idadi ya wajumbe wa Kamati kuu na kukamilisha nafasi ya Makatibu wa Jumuiya zake zote na Mwisho vikao hivyo vimempata na Kuridhia jina la Katibu Mkuu Mpya wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) [HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG].

*Kwanini Nimemuelewa Dr Magufuli*
Kwanza Dr Magufuli amenitafakarisha sana,kwani kuna vitu vingi najifunza kwake lakini uteuzi huu wa Katibu Mkuu Mpya [HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG] imenitafakarisha zaidi namna na ambavyo amefanya.

Wenzetu [HASHTAG]#CHINA[/HASHTAG] Wanazo taratibu zao za kuwaandaa viongozi wao kabla ya kuwapa Majukumu.
[HASHTAG]#Wachina[/HASHTAG],Rais wao huandaliwa zaidi ya miaka mingi,Tena wakati Mwingine humpa majukumu ya Rais lakini kubwa husafirishwa vijijini kukaa na wananchi kushuhudia Changamoto zao.
Sio tu kwa [HASHTAG]#CHINA[/HASHTAG] hata [HASHTAG]#Marekani[/HASHTAG] Kabla ya Rais Mpya kuingia Madarakani kuna kipindi cha Mpito cha Rais Mpya kukaa jirani na [HASHTAG]#WhiteHouse[/HASHTAG] kufanya baadhi ya kazi za Rais na Rais anayestaafu.

[HASHTAG]#DrMagufuli[/HASHTAG] kabla ya uteuzi wa Katibu Mkuu,baada ya kujiridhisha na Ombi la Muda mrefu la Komred Kinana kutaka Kujiuzulu aliunda kamati ya kufuatilia Mali za Chama chini ya [HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG] lakini kubwa ni kumpa Uzoefu na kujua Changamoto zinazokikabili Chama cha Mapinduzi na kujionea hali halisi ya Maisha ya Watanzania lakini kubwa ni kumjengea kujiamini kwa WANACCM nchi nzima kumtambua.

[HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG] amezunguka nchi nzima na naamini asilimia 60%-70% ameshazijua changamoto za chama na viongozi wake,lakini kubwa amejua Kero za wananchi.
Na kwa kuwa amekabidhiwa rungu,kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa atahakikisha changamoto za chama anazitatua.
Kwa hiyo Rais *Dr Magufuli* amefanya kitu Muhimu sana kwa Katibu Mkuu wa Sasa,Kwani ameua Ndege wawili kwa Mpigo yaani,Katibu Mkuu Kuhakikisha CCM inasafishwa na kuirudia Misingi ya kuanzishwa kwake na ndege wa Pili ni kutatua na kuzisemea Shida za Watanzania.

Ilikuwa haiingii akilini Rais ahangaike na Serikali kuiweka sawa halafu mambo ya Chama nayo yamgoje mpaka yeye aje wakati wasaidizi wake kwenye chama wapo.
Lakini kubwa Ilikuwa Haiingii akilini eti Jumuiya zenye Miradi chungu Nzima bado Pesa za Mikutano yao Mkuu wanaomba Chama taifa.

Mbaya zaidi,ilikuwa haingii Akilini eti Jumuiya ya Wazazi wana Shule za Sekondari lakini hazifanyi vizuri kwenye Soko la Matokeo.
Pia Ukija kwenye Banki ya Wanawake inayosimiwa na UWT haifanyi vema,Mbaya zaidi waliokopeshwa ni watu wachache wenye Pesa nyingi kwa Mbinu za kitapeli.
Ukigeukia Jumuiya yetu ya Vijana (UVCCM) miradi yake ni Shida tupu.

Mwisho nasema nimemuelewa sana mwenyekiti wa CCM taifa *Dr Magufuli*
Nasema.
*No Gain without Pain* nawafahamu watu wengi sana wanamuunga Mkono hapa Online na Offline,wengi hawakutaraji kwamba huu utumbuzi na kibano hiki kama kitafika hapa,lakini kadri siku zinavyokwenda makundi haya yanaendelea kusambaratika kwa kasi kama *Soviet Union* na yapo Makundi mengi pia yanazidi kumuunga Mkono!
Moja Walikuwepo wale wa bega kwa bega kwa minajiri ya "tupate Chochote kitu"...Mbili kuna "wa Uzalendo kwanza"..na tatu ni wale wa "tujikinge kwake"...nadhani mpaka sasa tumebaki na kundi la pili pekee.
This is the Returns of Nkurumah Nyerere who was the Son of Mandela Lumumba,hapa kama Ukoo wa Yakobo wa Israeli tu,hakuna Uchawi juu yake,hapa ni kazi na Sala kwa kwenda mbele.
*Nchi kwanza CHADEMA na mikelele yao baadae*
 
*TIRIRIKA NA JOSEPH YONA AU YUSUPH YUNUS*

Napenda kuchukua fursa nyingine kuvipongeza vikao vya CCM taifa vilivyokasimiwa madaraka na Mkutano mkuu CCM taifa.
Hongereni wajumbe wa [HASHTAG]#HalmashauriKuu[/HASHTAG] [HASHTAG]#KamatiKuu[/HASHTAG] na [HASHTAG]#SekretarietTaifa[/HASHTAG] kwa vikao Muhimu vya siku Mbili,kuendelea kuijenga CCM Mpya(Chama pekee kilicho na matumaini na watanzania) na Tanzania Mpya.

Vikao hivyo vya Chama chenye Historia iliyotukuka barani Afrika na Duniani,Pamoja na Mambo mengine,Vimeridhia Ombi la siku nyingi la Kada na Katibu Mkuu wa CCM Komred Kinana kuomba kujiuzulu.
Lakini Pia wamefanikiwa kukamilisha idadi ya wajumbe wa Kamati kuu na kukamilisha nafasi ya Makatibu wa Jumuiya zake zote na Mwisho vikao hivyo vimempata na Kuridhia jina la Katibu Mkuu Mpya wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) [HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG].

*Kwanini Nimemuelewa Dr Magufuli*
Kwanza Dr Magufuli amenitafakarisha sana,kwani kuna vitu vingi najifunza kwake lakini uteuzi huu wa Katibu Mkuu Mpya [HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG] imenitafakarisha zaidi namna na ambavyo amefanya.

Wenzetu [HASHTAG]#CHINA[/HASHTAG] Wanazo taratibu zao za kuwaandaa viongozi wao kabla ya kuwapa Majukumu.
[HASHTAG]#Wachina[/HASHTAG],Rais wao huandaliwa zaidi ya miaka mingi,Tena wakati Mwingine humpa majukumu ya Rais lakini kubwa husafirishwa vijijini kukaa na wananchi kushuhudia Changamoto zao.
Sio tu kwa [HASHTAG]#CHINA[/HASHTAG] hata [HASHTAG]#Marekani[/HASHTAG] Kabla ya Rais Mpya kuingia Madarakani kuna kipindi cha Mpito cha Rais Mpya kukaa jirani na [HASHTAG]#WhiteHouse[/HASHTAG] kufanya baadhi ya kazi za Rais na Rais anayestaafu.

[HASHTAG]#DrMagufuli[/HASHTAG] kabla ya uteuzi wa Katibu Mkuu,baada ya kujiridhisha na Ombi la Muda mrefu la Komred Kinana kutaka Kujiuzulu aliunda kamati ya kufuatilia Mali za Chama chini ya [HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG] lakini kubwa ni kumpa Uzoefu na kujua Changamoto zinazokikabili Chama cha Mapinduzi na kujionea hali halisi ya Maisha ya Watanzania lakini kubwa ni kumjengea kujiamini kwa WANACCM nchi nzima kumtambua.

[HASHTAG]#DkBashiruAlly[/HASHTAG] amezunguka nchi nzima na naamini asilimia 60%-70% ameshazijua changamoto za chama na viongozi wake,lakini kubwa amejua Kero za wananchi.
Na kwa kuwa amekabidhiwa rungu,kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa atahakikisha changamoto za chama anazitatua.
Kwa hiyo Rais *Dr Magufuli* amefanya kitu Muhimu sana kwa Katibu Mkuu wa Sasa,Kwani ameua Ndege wawili kwa Mpigo yaani,Katibu Mkuu Kuhakikisha CCM inasafishwa na kuirudia Misingi ya kuanzishwa kwake na ndege wa Pili ni kutatua na kuzisemea Shida za Watanzania.

Ilikuwa haiingii akilini Rais ahangaike na Serikali kuiweka sawa halafu mambo ya Chama nayo yamgoje mpaka yeye aje wakati wasaidizi wake kwenye chama wapo.
Lakini kubwa Ilikuwa Haiingii akilini eti Jumuiya zenye Miradi chungu Nzima bado Pesa za Mikutano yao Mkuu wanaomba Chama taifa.

Mbaya zaidi,ilikuwa haingii Akilini eti Jumuiya ya Wazazi wana Shule za Sekondari lakini hazifanyi vizuri kwenye Soko la Matokeo.
Pia Ukija kwenye Banki ya Wanawake inayosimiwa na UWT haifanyi vema,Mbaya zaidi waliokopeshwa ni watu wachache wenye Pesa nyingi kwa Mbinu za kitapeli.
Ukigeukia Jumuiya yetu ya Vijana (UVCCM) miradi yake ni Shida tupu.

Mwisho nasema nimemuelewa sana mwenyekiti wa CCM taifa *Dr Magufuli*
Nasema.
*No Gain without Pain* nawafahamu watu wengi sana wanamuunga Mkono hapa Online na Offline,wengi hawakutaraji kwamba huu utumbuzi na kibano hiki kama kitafika hapa,lakini kadri siku zinavyokwenda makundi haya yanaendelea kusambaratika kwa kasi kama *Soviet Union* na yapo Makundi mengi pia yanazidi kumuunga Mkono!
Moja Walikuwepo wale wa bega kwa bega kwa minajiri ya "tupate Chochote kitu"...Mbili kuna "wa Uzalendo kwanza"..na tatu ni wale wa "tujikinge kwake"...nadhani mpaka sasa tumebaki na kundi la pili pekee.
This is the Returns of Nkurumah Nyerere who was the Son of Mandela Lumumba,hapa kama Ukoo wa Yakobo wa Israeli tu,hakuna Uchawi juu yake,hapa ni kazi na Sala kwa kwenda mbele.
*Nchi kwanza CHADEMA na mikelele yao baadae*
Hata Dr. Slaa na Anna Magwira waliandaliwa kwa miaka Mingi.
 
Back
Top Bottom