Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hahahaha sentensi mbili za mwisho nimecheka sana
 
Hakuna kazi ngumu kama "Kumuamsha aliejifanya Amelala".

Mkuu wewe yote yanayotokea haya huyaoni wala kusikia.

Nyie ndo mmelala. Wapiga maneno kila Siku kudakia ajenda angani. MBOWE. ZITTO LISSU wamekuwa miungu yenu
 
Mwenge unazindua miradi ya mendeleo ni kweli, je bila kuzinduliwa na Mwenge hiyo miradi ya maendeleo haiwezi kuendelea kufanya kazi kiasi kwamba bila Mwenge maendeleo hayo hayapo?

Nini tija ya Mwenge kwa nchi masikini kama hii ambayo raia wake huduma za lazima kama maji wanachangia na wanyama kama fisi, punda, mbuzi, ng'ombe n.k?

Unaendesha Mwenge kwa mabilioni ya shilingi wakati hospital hazina hata pandol! Huu ni uendawazimu
 
Cheap politiki. Nani kakuambia mwenge unaenddeshwa kwa mabilioni? Halafu technically ( kama unaelewa maana yake) kama mwenge unatumia bil 10 kisha unafungua miradi ya bil 50 na ushee tatizo liko wapi?

La pili mwenge ni icon kama zilivyo nembo za biashara.
 
Nenda mbadala wa Bilicanas ukauze sembe. Utaona wapi? Wakati unangoja kusikia Mbowe kanya mavi ya blue?
 
Nenda mbadala wa Bilicanas ukauze sembe. Utaona wapi? Wakati unangoja kusikia Mbowe kanya mavi ya blue?

Nimejaribu kupitia post yako zaidi ya mara 3, hakika nimeshindwa kujua umeandika utoto gani.
 
MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI - "MUNGU ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha". Daniel 5: 25 -26.
 
Lakini ujue vfaa vya ujenzi vimepanda sana, mtu wa chini kujenga asahau, akubali kuishi kwenye vijumba vya makuti nayasi.
Bati za tz mt3 g30 = 23000
Sementi 200000
Nondo mm12=@21000.
Ongezea na vya huko kwenu bei yake unaijua....
 
Sio wakawaida Na uwenda hatotokea japo Mungu yupo atafanya
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ngoja waje wanao mpenda zaidi
 
Mh Magu, watanzania wanadai kuwa kujenga, Meli, SGR, Kujenga bandari, Kuleta bomba la mafuta la Uganda, kununua Ndege, kujenga flyovers Ubungo na Tazara, Kujenga mabwawa ya maji ni kuleta maendelao ya vitu na siyo Maendelo ya watu.

Eti wao wanataka shule nzuri, dawa za hospitali za kutosha na maji basi! Mengine wataishi kama watu wa Congo ambao wana hela mfukoni na wana raha ingawa hawana umeme, barabara, ndege, reli, flyovers, lami n.k

Rais wetu, hao ndio watanzania waliosoma na kuerevuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…