Nikiri wazi kuwa sikupiga kura wakati ule lakini hata ningepata nafasi ya kupiga KURA sikuwa na nia na CCM Ingawa pia sikuiamini CHADEMA ...INGAWA utendaji wako ulikuwa usio na mashaka tangu wakati huo nilizidi kukuchukia zaidi baada ya kuachishwa kazi mizani mwaka 2016 kwa kosa lisilo langu nikaletewa tetesi kuwa ni uamuzi kutoka ngazi za juu kwa watu waliokuwa wakishabikia upinzani ..baadaye nilikuja gundua kuwa si kweli bali likuwa ni njama kwa watu tuliokuwa tumesimamia haki na kuzuia magari flani yakampuni ya "GI ES M" , KUTOKUBY PASS MIZANI NA MENGINE YAPITE... mheshimiwa silalamiki kwa hili japo sina ajirA MPAKA SASA KWA SABABU nilishapeleka kwenye vyombo vya sheria MAAMUZI YAKITOKA nitaweka hadharani
...
ILA LEO NIKO JAMVINI BAADA YA KUIPIMA DHAMIRA YAKO NA DHAMIRA YA WAPINZANI WAKO NIKAONA KUWA NI WEWE TU AMBAYE UMESIMAMA KWA AJILI YA NCHI HII..
ninaomba unisamehe muheshimiwa rais na chama chako cha ccm