Hizo limitations zipokisheria?huwezi tunga sheria kwa makatazo au amri sheria hujadiliwa bungeni na kupiyishwa na mwisho kusainiwa kutumika,bila hivyo limitayions zinasheria?Siongelei ujinga wenu wa Siasa za kijinga isitoshe hakuna aliyezuiwa kufanya Siasa ila kuna ,,limitations” zimewekwa kwa wale waliochaguliwa ili watimize kile ambacho walichaguliwa kukifanya.
Hapo naongelea nchi inavyokwenda vizuri!
Amefanyia MSc yake Manchester UKHivi inakuwaje mtu ambaye hajawahi kuishi Ulaya kwa Muzungu na ambaye wengine wanamuita ,,mshamba” lkn sasa TZ yetu inavyokwenda mambo yake ni kama tu nchi za Wazungu (nchi zilizoendelea) sasa hivi hakuna ubabaishaji, unaishi kwa jasho lako, sheria zinafwatwa barabarani kama 50 km/saa kila mtu anafwata, zebra kila dereva anaheshimu, leseni za magumashi mwisho wake umefika.
I mean mambo yanakwenda ingawaje uchumi wetu bado mdogo lkn angalau kwa mara ya kwanza tuna matumaini tuendako kunaeleweka, ...
stealing 1.5T buying planes ,chato airport without the parliament approval then you say transparency?No one can be as good as Magufuli in Africa.
His leadership is full of transparency,let all African leaders Have a look on that. We admire that
Ni watoto wa shue ya msingi tu ndo wanaweza kuandika na kufikiri kama ulivyoandika. Pole sana dada.stealing 1.5T buying planes ,chato airport without the parliament approval then you say transparency?
[emoji123] [emoji123] [emoji123]No one can be as good as Magufuli in Africa.
His leadership is full of transparency,let all African leaders Have a look on that. We admire that
Pumbavu (siyo tusi usikasirike) transparency alimwambia nani kuwa anajenga chato, ananunua ndege, anamficha nani makusanyo ya TRA, and many many others. Unajua transparency, labda kama unatania au unamdhihaki.. unam ridicule!No one can be as good as Magufuli in Africa.
His leadership is full of transparency,let all African leaders Have a look on that. We admire that
Dah!! Jamaa sipati picha alivyokuwa anaandika kiingereza cha kuunga unga jasho lilivyokuwa linakutoka.stealing 1.5T buying planes ,chato airport without the parliament approval then you say transparency?
Transparency!!!? God forbid!!His leadership is full of transparency,
Sema wewe unataabika kwa uwamuzi wako usio na hekima!wananchi wanataabika, alaf ww unasifia...
Nnchi ya kinyonyaj hii