Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Utampa wewe na shangazi yako labda..ila wewe si msemaji wa Wa Tanzania..kenge wa madoa!
Utatukana sana ms*nge wewe ila ukweli utasimama daima. Inawezekana magendo yako yamezibwa unalaumu. Magufuli atapasua hutaki hama nchi
 
Salam nyingi ndugu zangu wanajamvi hili lenye heshima yake kubwa ndani na hata nje ya mipaka ya taifa letu la Tanzania, hili halina pingamizi. Kwa muda mrefu wa zaidi ya miaka kadhaa nimekuwa mfuatiliaji wa yale yanayoendelea humu ndani kwa kutazama tu Hoja na michango mbalimbali bila kujisajili na kuwa mmoja wenu.

Masharti yaliyopo sasa baada ya kuninyima uhuru wa kuzipata habari na michango moto moto ya humu imenibidi kujisajili na kuwa mmoja wenu, najipokeza mwenyewe kwamba hatimaye nimekuwa mwana jamii forums.

Turudi kwenye hoja ya msingi, kwa mimi ambaye sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote hapa nchini mpaka hivi sasa hakika navutiwa na aina ya uongozi wa nchi kwa sasa unavyoendeshwa, sina shaka na weledi wa Raisi wetu mpendwa ikizingatiwa kuwa mengi kati ya yale yaliyokuwa yananitatiza katika taifa hili uongozi wa huyu jamaa unenipatia majibu ya kuonekana. Kwangu ilikuwa hainiingii akilini unatoka Dar es salaam kuelekea Arusha lazima utumie usafiri wa basi ama ndege ingali kuna huduma ya reli ambayo kwa wakati wa nyuma iliachwa ikajiotea majani na wajasiliamali kujipatia skrepa. Kwa sasa naona mambo yanaanza kujipa, tutatumia usafiri huu kuijua zaidi Tanzania yetu ikizingatiwa mahali ambamo reli yetu imepita hususani vijijini, pia hii itainua utalii wa ndani na nje kwa kiasi kikubwa sana na kuwafaa sana wakulima, wafugaji na wafanyabiashara.

Juzi nimeiona angani kwa macho yangu ndege yetu mpya ikikata mawingu ikanipa hamasa na nguvu kubwa moyoni, nasikia kuna nyingine zinafuata, tuliabishwa sana na nchi ndogo zenye rasilimali finyu ikiwemo rasilimali watu. Pia kwa sasa naziona sura mpya na hasa vijana wakishika hatamu za uongozi kitu ambacho ni dira safi na hazina kwa taifa kwa miaka ijayo.

Kuna mengi sana yamefanyika licha ya changamoto ambazo hata kwenye misaafu na biblia ipo na ndio maana tumegawanyika kiimani licha ya vyote kuwa na Lengo kuu moja ambalo ni kutangaza habari za muumba wa vitu vyote.

Nisiongee sana, kudos Magufuli and your regime.
 
Magufuli anaiua CCM kifo cha mende. Yan itaanguka na haiaamka milele sababu ya maadili abauowajengea wanachama wake. Yan maadili ya Rushwa, roho mbya, unafiki na kujipendekeza kwa wakubwa bila kujali utashi wa kazi au uongozi.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mi mbona nimebadilika naendana na speed ya jiwe.Jpm ukikinzana nae utaishia kuwa mlalamikaji tu.
 
Mi mbona nimebadilika naendana na speed ya jiwe.Jpm ukikinzana nae utaishia kuwa mlalamikaji tu.
Hivi ndo wewe uliambiwa naniliu,kikojoleo cha mama ako kina funza,au sio wewe nimekufananisha?
 
1534366063946.jpeg
 
Magufuli anaiua CCM kifo cha mende. Yan itaanguka na haiaamka milele sababu ya maadili abauowajengea wanachama wake. Yan maadili ya Rushwa, roho mbya, unafiki na kujipendekeza kwa wakubwa bila kujali utashi wa kazi au uongozi.
 
Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana kisichosaidika kwa lolote,kila jambo linapotokea Duniani huwa lina maana yake,liwe baya au zuri.
Binadamu anapenda mazuri tu hapendi mabaya,Binadamu hajui kuwa ni lazima augue ili Daktari apate ajira.
Ni lazima atende jinai ili askari wapate ajira,kifupi ni kwamba mazuri na mabaya yote yana faida sawa.
Wakati nafundishwa Biashara ya FOR EX nilikula hasara hadi nikawa nashinda njaa,kwanini nili ing'ang'ania Sana hiyo Biashara ?
Wakati nasoma Business administration, lecturer wangu alikuwa akinieleza kuwa " where there's big loss there's also big profit ".
Leo hii nikiangalia nyuma nabaki kuishangaa Dunia na maajabu yake, hivi ndiye Mimi wiseboy. Ambaye Leo hii nakula nachotaka kwa Sababu ya faida ya Biashara iliyowahi kunipa hasara hadi nikataka kujiua?
Kama hayati Nelson Mandela asingefungwa miaka zaidi ya 25 Leo hii hakuna mweusi ambaye angekuwa rais South Africa, kama kusingekuwa na Bahari Ndege zisingekuwepo.
Kila jambo na maana yake chini ya jua.
Sifa kubwa ya Bomu ni kwamba,pale linapokutana na upinzani,yaani sehemu ambayo linataka kuilipua inapokuwa ngumu zaidi na Bomu nalo huwa linaongeza uwezo wa kulipua yaani huwa linapata nguvu zaidi.
Sasa hivi watu wanapiga kelele eti Rais Magufuli anaua upinzani,anaua vipi upinzani wakati ndo anaupa nguvu upinzani?
Hata yeye anajua fika kuwa upinzani ndo unapata nguvu zaidi na siyo kufa.
Sasa ubaya wake uko wapi?
Nawapa Home work ya miaka 15 ijayo au 20 kwa wabishi.
Kama Una watoto watatu kwa mfano,mtenge mtoto mmoja,mnyanyase,usimsomeshe na kama vipi mfukuze hata nyumbani.
Baada ya miaka kadhaa utakuja kuona ni nani kabarikiwa kimaisha kati ya Huyo uliyekuwa ukimnyanyasa na hao uliokuwa ukiwapenda.
Narudia tena kila jambo lina maana yake chini ya jua,ni lazima wachungaji wapigwe ili kondoo watawanyike na hapo ndo watapata Green pasture.
Huwezi kufanikiwa kibiashara bila kupata loss kubwa.
Huwezi kushinda vita kubwa bila adui yako kukuelemea.
Mtabaki kulalamika tu,"ooh anaua upinzani " kumbe uwepo wake ni mpango wa Mungu ili wapinzani wachukue dola.
Formula ya Mungu si formula ya mwanadamu.
Niia za Mungu si njia za mwanadamu,mawazo ya Mungu si mawazo ya mwanadamu.
IMG-20180811-WA0018.jpg
 
Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana kisichosaidika kwa lolote,kila jambo linapotokea Duniani huwa lina maana yake,liwe baya au zuri.
Binadamu anapenda mazuri tu hapendi mabaya,Binadamu hajui kuwa ni lazima augue ili Daktari apate ajira.
Ni lazima atende jinai ili askari wapate ajira,kifupi ni kwamba mazuri na mabaya yote yana faida sawa.
Wakati nafundishwa Biashara ya FOR EX nilikula hasara hadi nikawa nashinda njaa,kwanini nili ing'ang'ania Sana hiyo Biashara ?
Wakati nasoma Business administration, lecturer wangu alikuwa akinieleza kuwa " where there's big loss there's also big profit ".
Leo hii nikiangalia nyuma nabaki kuishangaa Dunia na maajabu yake, hivi ndiye Mimi wiseboy. Ambaye Leo hii nakula nachotaka kwa Sababu ya faida ya Biashara iliyowahi kunipa hasara hadi nikataka kujiua?
Kama hayati Nelson Mandela asingefungwa miaka zaidi ya 25 Leo hii hakuna mweusi ambaye angekuwa rais South Africa, kama kusingekuwa na Bahari Ndege zisingekuwepo.
Kila jambo na maana yake chini ya jua.
Sifa kubwa ya Bomu ni kwamba,pale linapokutana na upinzani,yaani sehemu ambayo linataka kuilipua inapokuwa ngumu zaidi na Bomu nalo huwa linaongeza uwezo wa kulipua yaani huwa linapata nguvu zaidi.
Sasa hivi watu wanapiga kelele eti Rais Magufuli anaua upinzani,anaua vipi upinzani wakati ndo anaupa nguvu upinzani?
Hata yeye anajua fika kuwa upinzani ndo unapata nguvu zaidi na siyo kufa.
Sasa ubaya wake uko wapi?
Nawapa Home work ya miaka 15 ijayo au 20 kwa wabishi.
Kama Una watoto watatu kwa mfano,mtenge mtoto mmoja,mnyanyase,usimsomeshe na kama vipi mfukuze hata nyumbani.
Baada ya miaka kadhaa utakuja kuona ni nani kabarikiwa kimaisha kati ya Huyo uliyekuwa ukimnyanyasa na hao uliokuwa ukiwapenda.
Narudia tena kila jambo lina maana yake chini ya jua,ni lazima wachungaji wapigwe ili kondoo watawanyike na hapo ndo watapata Green pasture.
Huwezi kufanikiwa kibiashara bila kupata loss kubwa.
Huwezi kushinda vita kubwa bila adui yako kukuelemea.
Mtabaki kulalamika tu,"ooh anaua upinzani " kumbe uwepo wake ni mpango wa Mungu ili wapinzani wachukue dola.
Formula ya Mungu si formula ya mwanadamu.
Niia za Mungu si njia za mwanadamu,mawazo ya Mungu si mawazo ya mwanadamu.

Forex?/ Magufuli!? Au vyote!?
 
Mkiongea na hao wamarekani waambieni kuwa tulishaambiwa tutapigwa tu mahakama ni zao na magereza ni ya kwao
 
Back
Top Bottom