Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Naandika kumpongeza Dr Magufuli na Awamu yake ya Tano, kwa kutekeleza dhahiri mambo makubwa aliyoahidi.
Yanayonikuna ni miadi miwili haswa;
Moja Reli ya SGR, DSM~Dodoma baadaye hadi Kigoma/Mwanza.
Pili, Umeme wa Steigler's Gorge, 2100MW.

Na miradi yote imeanza kwa kasi.

Kuanza miradi hii ni kuona mbele miaka 100.
Tukumbuke reli ya msingi iliyojengwa na mjerumani, imedumu sasa zaidi ya miaka 100 ya matumizi toka 1905 ilipojengwa na wajerumani.

Umeme wa kutosha vile vile.

Hii ni oppurtunity nzuri kuweka msingi wa uchumi.
Na kwa mdingi huo Magufuli hatasahaulika kwa muda mrefu ujao.
Piga kazi mzee.
 
Wakupongezwa ni wengi. Mimi pia niwapongeze Watanzania wote wenye Magari, maana hizo Road fine za Traffic zinamchango pia.
 
Tangu 1961 tulipopata uhuru hadi 2016 tulikuwa na vituo vya afya nchi 115 nchi nzima, Katika Mwaka wa fedha 2017/ 2018 pekee Serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli imejenga vituo vya afya vyevye uwezo wa kufanya upasuaji 208.
Tubishane yote kuhusu Serikali hii ila sio suala la maendeleo

*Ni Record Breaker*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa. Subiri tukutafutie Wilaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipo nchi gani hivyo vituo
 
Umesahau na viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa kwa mwaka mmoja na kumaliza kabisa tatizo la ajira nchini humo. Maana wote wameajiriwa, hopitali nyingi zimejengwa licha ya hivyo vituo
 
Tatizo mnavuta bangi halafu chakula kwa Shemeji mtaacha vipi kuongea utumbo kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…