Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwani unadhani yameisha? Tunasubiri drama yenu ya mashoga iishe TUANZE kumkumbusha mheshimiwa Membe wajibu wake wa kutukomboa,Na kuwataka mtutajie waliomteka Mo.
kama mko siriazi kuhusu ukombozi si kwa njia hii mnafeli ndugu zangu
 
Ndio Maana akamtuma Bashite aje na filamu ya ushoga ku Spin Mambo,movie ikiisha tuna resume na ya Membe.
Mzee zile siku mbili zilimtesa sana
 
Ndio Maana akamtuma Bashite aje na filamu ya ushoga ku Spin Mambo,movie ikiisha tuna resume na ya Membe.
Mzee zile siku mbili zilimtesa sana
jidanganyeni muache kuwekeza akili zenu kwenye maendeleo
 
mdogo wake roast tamu yuko nyuma ya nondo usidhani alikua amewapotezea tu amesha anza kushughulika na mmoja mmoja japo kaanzia mbali
 
Kwaya nyingine ya mapambio.
Wiki iliyopita tulisikiliza mapambio toka kwaya ya Tumbo kwanza, inayoundwa na ma Propesa wetu maarufu kwa kupofushwa na njaa endelevu.
 
Wewe una Maendeleo gani ?
You sound Poor & Ignorant,Most Probably you are also Sick
unauliza maendeleo yangu wakati sisi ndio tunapanga ule nini uishi vip?? jiangalie wewe warrior keyboard!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…