Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Great Leaders Aren’t Threatened by Their citizens’ Ideas or Feedback
Great leaders create an environment where people feel safe to speak up. We see this in the “CCM ruling culture” (a culture of continuous improvement). citizens' aren't afraid of being mocked for having a “bad idea” or an idea that doesn't work out in practice. Even a “bad idea” can be the starting point for a better idea to rule our country, i real see this in Magufuli era,
If the President isn't afraid to be wrong, then citizens won't be afraid.
keep it up Magufuli
Mkuu Chige hili la huyu maza ntakutafuta mwenyewe nikwambie ndugu yangu.Duh! Hilo la Membe na sherehe za u-PM nilikuwa sijalinyaka bado ingawaje nakumbuka wakati ule Membe alitajwa tajwa sana kwenye uwezekano wa kuwa PM! Kama kumbukumbu zangu kama zipo sawa, nadhani nami nilikuwa ni miongoni mwa hao walioutarajia u-PM wa Membe!!
Ila kuna jambo moja bado hadi kesho nakumbuka! JK alipomtaja EL kama PM, ndipo nami nikazinduka na kujiuliza ilikuwaje sikumtilia maanani EL wakati kwa kipindi kile ilikuwa ngumu sana kumtenganisha JK na EL!
But again, I was shocked kuona hakupata nafasi yoyote ya Uwaziri zaidi ya ile ya unaibu! Nadhani JK alifurahi sana Dr. Asha Rose Migiro kwenda UN manake hatimae akapata fursa ya kusawazisha na kutoa nafasi ambayo Membe aliitendea haki!
Halafu la huyo mama... duh! Hebu nimegee kidogo!
Itakuwa njema zaidi....Mkuu Chige hili la huyu maza ntakutafuta mwenyewe nikwambie ndugu yangu.
Halafu ile juzi nilisahau kukuambia uni-tag endapo angekujibu alimaanisha nini aliposema Roeland ni persona non grata! Sio issue lakini, akikujibu hili la sasa, utani-tag!Bwana mdogo vipi aisee.
Ile Persona non grata kwa balozi wa Umoja wa Ulaya aliitangazwa na nani sasa ? Keep it up and the rest of the team teh teh [emoji16][emoji16][emoji16]
Britanicca ana kibarua kizito sana kuitetea hii serikali aiseeHalafu ile juzi nilisahau kukuambia uni-tag endapo angekujibu alimaanisha nini aliposema Roeland ni persona non grata! Sio issue lakini, akikujibu hili la sasa, utani-tag!