Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Acha ufala na wewe, umejuaje kama huyo ni mkulima wa korosho? Au unakurupuka tu? Unajifanya haujasoma jina lake vizuri?Haya ni maamuzi yake kama mkulima wa korosho!
Zero brain katka ubora wakeTUMEBALIKIWA, nimelizika [emoji23][emoji23][emoji23]
Ntakuchagua tena MAGUFULI 2020, unayoyafanya nimelizika nayo 100%, sioni sababu yakukunyima KURA yangu
raisi =rais?TUMEBALIKIWA, nimelizika 😂😂😂
makubwa haya! kwani jina lake lina uhusiano gani na kuwa mkulima wa korosho?Acha ufala na wewe, umejuaje kama huyo ni mkulima wa korosho? Au unakurupuka tu? Unajifanya haujasoma jina lake vizuri?
Unataka na wewe ushushiwe povu?
Pumbav, hata kiswahili hujui kuandika vizuri, utajuaje maswala ya uchumi na utawala bora!!!
Halafu mpe taarifa huyo baba yako MUSIBA (katibu mwenezi wa wanafiki), kosa la DEFAMATION/UCHAFUAJI WA HESHIMA nchini litamsubiri mpaka kinga yake iishe ya JPM au atakapo chokwa, atapelekwa kizimbani na fidia watakazo dai hao watu aliowachafua, itabidi auze viwanda vyake vya magazeti + chupi + viatu + ile jezi ya taifa stars anayovaa kwenye kujirekodi + na madeni juu, ili awalipe hizo fidia (asione wamekaa kimya, wanamlia mingo hio rutty yake).
Tumia akili yako kufikiri, usitumie makalio.Huwa sikubaliani na Musiba lakini nikiwaza sana naona kama kuna mambo anayosema yanaukweli. Mimi nikakutuhumu wewe unalipwa na Jamii Forums kila mwezi kinakushinda nini kufungua kesi kama ni uwongo!!!
Kuna kesi nyepesi kama hiyo? si kiasi cha yeye kuitwa mahakamani adhibitishe tu, Au nakosea jamani?