Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania


Well said!
 

Safi sana mkuu, uchaguzi umeisha, tuchape kazi.
 
Tatizo watanzania siasa imetutawala..
mtu anafanya vizur kwann asisifiwe?
mnadhani kwanin walimponda sn mkwere?
 
Last edited by a moderator:
Ni kwa sababu ameanza kufanya waliyoyapigia kelele tangu siku nyongi, watawala wa mwanzo waliziba masikio kabisa!, wewe unafikiri hata Mawazo angeuwawa kama Mapolisi hawatumiki na MaCCM? Angalia UHURU, ndo linaanza kuandika habali zilizotolewa na Tanzania Daima, MwanaHalisi kabla halijafungiwa n.k
 

Basi wewe sio msomaji!
 

Acheni siasa sisizo na maana, magufli anatekeleza sela za upizani kwa maana anafanya mambo mengi yaliyo kuwa yanaombwa na wapizani.
Tanzania ni yetu sote provided tunafanya vitu vzr, na ukifanya vzr utakubalika
 
Last edited by a moderator:
ona ulimkata makamu, si ungeacha picha original tu, au unaona neno men lingeathili title yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…