SAYARI DUNIA
Member
- Jul 19, 2015
- 54
- 17
Sisomi na sitasoma kamwe migazeti ya Mawio na Mwanahalisi! Sitasoma sitasoma sitanunua. Haiwezekani Kubenea miaka yoooote umekuwa ukiandika maufisadi ya Richmond Lowasa na Sumaye na wengine na kujitapa unaandika habari za kiuchunguzi na una ushahidi wote alaf leo uwe mmoja wa wasafishaji na watakatishaji wa maovu yao. Leo unasema woote wasafi na hakuna ufisadi. Jamii gani tunayotaka kuijenga, ? Jamii ya uongo na utapeli? Waandishi makanjanja kama Kubenea ipo siku watakumbuka uhuni walioufanya. Hawawezi pona siku zote
Wapo ambao hawakumchagua yeye si kwa vile hawamkubali yeye personally bali hawaikubali CCM na yeye alikuwa anabeba bendera ya CCM. Uchaguzi umeisha na huyu ni Rais wa Tanzania na si wa CCM tuache vijembe tufanye kazi
Na kwa kuongeza kama umefuatilia campaign wapinzani walikuwa wanasema CCM out na si Magufuli out
Mbona nifah na Paul Alex umewasahau! Na wao wanamkubali roho safi kabisa ila wanazuga na nafsi zao zawasuta! Hata Salary Slip na Laki si pesa wote wanamkubali.Kwan unadhan hawamkubali? Wanamkubali sana sema wanajitoa ufahamu tu.
Magufuli analeta raha ndan ya mioyo ya watanzania anagusa palepale panapowasha.
Najua hata wale ndg zangu Apologise lady , Erythrocyte, wanajilaumu nafsi zao kwann hawakumchagua tingatinga serema
Mbona nifah na Paul Alex umewasahau! Na wao wanamkubali roho safi kabisa ila wanazuga na nafsi zao zawasuta! Hata Salary Slip na Laki si pesa wote wanamkubali.
Sisomi na sitasoma kamwe migazeti ya Mawio na Mwanahalisi! Sitasoma sitasoma sitanunua. Haiwezekani Kubenea miaka yoooote umekuwa ukiandika maufisadi ya Richmond Lowasa na Sumaye na wengine na kujitapa unaandika habari za kiuchunguzi na una ushahidi wote alaf leo uwe mmoja wa wasafishaji na watakatishaji wa maovu yao. Leo unasema woote wasafi na hakuna ufisadi. Jamii gani tunayotaka kuijenga, ? Jamii ya uongo na utapeli? Waandishi makanjanja kama Kubenea ipo siku watakumbuka uhuni walioufanya. Hawawezi pona siku zote
Kwan unadhan hawamkubali? Wanamkubali sana sema wanajitoa ufahamu tu.
Magufuli analeta raha ndan ya mioyo ya watanzania anagusa palepale panapowasha.
Najua hata wale ndg zangu Apologise lady , Erythrocyte, wanajilaumu nafsi zao kwann hawakumchagua tingatinga serema
kwa kuwa ametupa Kule ilani ya CCM na sasa anatekeleza ilani ya UKAWA lazima apigiwe saluti.Tanzania Daima wampigia saluti Dr Magufuli!
Usanii? We nadhani unaota nenda kanawe utongo tongo machoni
Si ndio nyie mlikuwa mkiruka ruka humu kwa kutetea uozo au .
Uozo gani? hebu fafanua vzr nikuelewe
Umesahau au dharau ina maana ccm ilikuwa nje ndio imeingia ndani leo ama acheni hizo nanii.
Viongozi tofauti