Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Enyi wana wa wa Tanzania. Bara na visiwani msio ona na upofu unewakamata wa miaka mingi kaeni kimya kwa maana kazi lazima ifanyike hata kama kelele nikali kama mvumo wa radi nilazima kazi ifanyike tena sio kazi nusu ila kazi kamili.

Kama hamjuwi bora mkae kimya maana hakuna alie jishibisha jasho la dhuluma na wizi ktk taifa lile atapona huu nimwanzo wa utungu tu ila wanakaribia kumaliza hizi kelele na wale mnafikiri ndio mashujaa na wanao inua midomo yao kila siku kama Khashogi kwa serikali ya Saudi watakuwa chakula cha matumbo yao.
Vikosi vikali mithili ya simba wenye njaa wapo tayari kuingia kazin.

Narudia tena hamtosikia hizi kelele zitakoma na uwenda wapiga kelele wengi watabadilika nakujifungia vyumbani kwa hofu ya yale watayapata.
Tuwe waaminifu jamani unapewa nafasi unaiba alafu unakuja hapa kuchafuwa serikali
..aibu yako aibu yako
 
Rais wetu pambana, kwa miradi hiyo miwili pekee. Utakumbukwa na taifa hili na vizazi.

Nikuombe dogo sana kwako tamka tu itakuwa...." Watendaji serikali Acheni democrasia ishamiri,tuboreshe Katiba ya Warioba, futeni mashauri na kesi za kisiasa"
Utakuwa Kiongozi bora wa wakati wote. Mungu akubariki Raisi wetu,Mungu ibariki Tanzania.
 
Binafsi nitamhukumu kwa miradi hii, ikifanikiwa atakula kura yangu
 
Vibaraka wanalialia kila siku mtandaoni.
Mungu yuko pamoja nasi ni nani wa kutuyumbisha?
 
hivyo vitu ulivyoweka hapo juu hata rais asingekuwa yeye vingefanyika,hatakama rais angelikuwa kingwendu sababu vilikuwa tayar kwenye mchakato wa kufanyika hata kabla yeye hajawa rais,acheni kutuletea cheap propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…