Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Sidhani kama hilo liweza kutokea, hatukumchagua kwa bahati mbaya hivyo hakuna mtu wa kumchukia.
Kwa kasi aliyokuja nayo ndugu yetu, baba yetu, rais wetu Mh.John P. Magufuli endapo ataendelea na kasi hii na akafanikiwa kutimiza ahadi zake kwa asilimia 70, basi tutarajie kuona Mh. Rais kuchukiwa na walio mchagua na kupendwa na wasio mchagua.
 
[emoji848] [emoji848] [emoji848] Hili sikubaliani nalo.
kama chaina,


mbowe apewe wizara na mnyika anaweza kuwa katibu mkuu wizara ya pesa huku waziri wake akiwa mwigulu ,yaani nchi itakua kama german
 
Sasa kama anatimiza ilani ya ukawa shida uko wapi, muhimu tupige kazi.
 
Mwachenu magufuli afanye kazi ya wananchi kama wewe no ccm basi najuwa 2020 I'll vote no 4 magufuli na kama we we ni ukawa na mwananchi wa kawaida watamchagua lea kishindo Jana atatekeleza wajibu wake lea wananchi.
I support you.
 
Kula tano [emoji109]
 
upinzani wa tanzania ni pasua kichwa...ni bora uvunjike yaani ufutike kabisa ili uanze upya...

upinzani wa dj na mr zero na luwasa huo ni upinzani au usanii tu.
Kula tano [emoji109]
 
Aliwauza jumla jumla.
 
Ni kuunga tu mkono uwe ukawa au ccm tuungane nchi isonge mbele.
 


Wapigaji wote (Zitto Kabwe, Lissu, Mbowe) hawa hata siku moja hawataweza kumpenda Magufuli, wamejitahidi sana kumchafua na kuwaaminisha watanzania kuwa hafai kumbe ni hasira zao tu za kukatiwa mirija zinawaumiza. Wavivu na wazee wa madili mjini (wanaume wa Dar) hawa ndiyo wajinga wa nchi hii, hawapendi kazi, wanafikiri ujinga wao ndio hali ya kila mtanzania. Hakuna zaidi ya Magufuli 2020 na hatuhitaji mtu yeyote aje badala yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…