Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kweli kabisa. Muda mfupi mambo makubwa.
 
Viva JPM.
 
Kuna baadhi ya watu bado wanadhani anachokifanya Rais Magufuli ni nguvu za soda!

Kama hawawezi kuisoma historia yake katika utumishi wa Umma, wataendelea kudhani ni nguvu za soda.
Nguvu za soda? Bado wanaamini ni nguvu za soda?
 
Ni kazi yetu watanzania kuufuta upinzani wa makelele, fujo na vioja na kuujenga upinzani wa hoja.
Upinzani ni muhimu sana kuwepo lakini lazima upinzani uwe wa hoja.
Kweli kabisa, hii kazi ni yetu sisi kuufuta upinzani.
 
Amen [emoji120]
 
Mawaziri ilikuwa lazima ateuwe ile jeshi lile la watu wanne lilikuwa imara sana.
 
Me sipati picha kwakeli after 3 yrs nchi yetu itakuwa wapi ktk suala zima la uchumi. Mungu ibariki Tz Mungu mbariki Rais wetu JPM
Ni miongoni kwa nchi yenye kukuwa uchumi wake kwa kasi sana.

Viva JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…