Rais Magufuli shikamooo...!!
Yaani ilikuwa ni kawaida, na lazima ukiwa TRA, TPA, Traffic Police, BOT etc kwa mwaka mmoja tu alafu HUJANENEPA utakuwa una ugonjwa basi... na ukienda kupima kweli unakuta una tatizo la afya.. kama mwili wako sio wa kunenepa BASI UTAVIMBA TU, au utanenepeswa tu kama ng'ombe wa mnadani, UNAJUA KWA NINI..? wee acha tu...
Kuna dada mmoja ana kama mwaka na miezi 4 hv TPA, tena hana cheo...alikuwa kapaukaa, mwembamba kabisa... hivi sasa, tobaaaaa... Astagafirullaah, naumia tu moyoni... acheni tu, utajiuma ulimi ufe, NI MITIKISIKO TU YA KUFA MTU... nguo hasimtoshi, akivaa dela hata kubwa vipi ni aibu, asalaleeee... yaani, na log off...!!
Mh. Rais wakondesheeeee... g9t..!!