Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

nyie wote mnaomsifia magu mtarudi hapahapa kumkashifu muda si mrefu....maana wabongo huwa hawakumbuki kabisa...jk alipoingia 2005 moto wake ulikuwa ni zaid ya magu,aliweza kukimbiza majambazi kwa chopa...lakini leo kiko wapi?
Alipambana na ujambazi JK tusibeze.
 
Kwendaaaaaaaa.
 

Sasa hapo nimekariri nini au nimesema serikali ya sasa syo kama iliyopita kwa kushirikisha familia ktk maamuzi makubwa
 
Wanajamvi igweeeee

Wakati Mkulu anaanza walisema rimoti ipo msoga na Tv ipo Magogoni... sasa nawauliza wale waliyasema hayo je hiyo rimoti bado imeshikiliwa???
*************************
Mnapozungumza muwe mnaweka akiba ya maneno!!
[emoji3][emoji3] Msoga hakuna rimoti wala nini.
 


Magufuli ndiyo mambo yote.
 
Umesamehewa, muhimu ni kuwa umetambua kosa lako.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Taratibu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…