Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

mpuuzi wewe. wewe ni mtumishi? umeona makisio ya bajet inayoendelea? umeangalia fungu la mishahara? kuna nyongeza au ajira mpya pale?
NYONGEZA YA MISHAHARA SIO FADHILA, NI TAKWA LA KISHERIA
kaa na ujinga wako , huyo kkchaa hana uwezo hata wa kuongeza watumishi wa idara moja tu
Mwambie awalipe wa Korosho kwanza
 
Matusi ya nini, si kwamba wewe ndo mpumbavu unapinga usilolijua
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usisahau kuwa mwakani kuna .........

Sent using My Xiaomi Redmi 4a
 
Matusi ya nini, si kwamba wewe ndo mpumbavu unapinga usilolijua

Sent using Jamii Forums mobile app
chizi wewe unabwabwaja bila kujua ulisemalo! ivi unajua impact za kiuchumi za kuongeza/ kutoongezz mishahara maradufu?
unajua madhara hata yatokanayo na kuunganisha mifuko ya kijamii wewe?
Usiongee usiyoyajua kanjanja wewe
 
hawaezi kuwa mtumishi wa uma huyo, mtumishi gani anashindwa kuandika maslahi anaandika masrahi?
 
Una akili sana ndugu kuweza kugundua hilo,wengi hawajalijua katu,huo ndio ujanja unaotaka kuwahadaa watumishi ,na kwa kuwa wengi wetu hatuingii dipu tutapongeza.Wafahamisheni watumishi juu ya jambo hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…