Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 697
- 1,358
Wanajopo.
Hii nchi tumechelewa sana katika medani za Uchumi kwa maana ya maendeleo,Rais Magufuli ndio Kilongora ambae ana ghala lililo sheheni maarifa na weledi katika kutuletea maendeleo halisi.
Shime watanzania tumuunge mko Rais wetu nazaidi tumpe ushirikiano wa kutosha hasa kwenye maboresho yale ambao ni ya kitaifa ili ayafanyie kazi kwa ustawi wa Nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nchi tumechelewa sana katika medani za Uchumi kwa maana ya maendeleo,Rais Magufuli ndio Kilongora ambae ana ghala lililo sheheni maarifa na weledi katika kutuletea maendeleo halisi.
Shime watanzania tumuunge mko Rais wetu nazaidi tumpe ushirikiano wa kutosha hasa kwenye maboresho yale ambao ni ya kitaifa ili ayafanyie kazi kwa ustawi wa Nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app