SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau kufuata sheria na katiba ambapo kwake ni ziro ,nenda kwenye tilioni 2.4 zilizoibiwa MTU na namna hiyo unaweza kumsifia kweli hapo sijaenda kwenye mauaji na uchumi .tutampima kwa matokeo kama vifaa vya kutosha mahospitalini, madawa ya kutosha, wafanyakazi wa kutosha hasa elimu na afya, vitendea kazi vya kutosha mashuleni, wanafunzi wenye sifa elimu ya juu wote wanapata mikopo, barabara nzuri, maji salama, umeme wa uhakika, uchumi wa mtu mmoja mmoja umekua n.k hatutampima kwa ziara maofisini
Inasikitisha sana mkuuView attachment 1078898View attachment 1078899View attachment 1078900
Hii Ni Shule Ya Msingi Nyahua Iliyopo Wilaya Ya Sikonge Mkoa Wa Tabora
Hivyo vyote alivyofanya anamalizia vya kikwete sema yeye kasimamia tuu ni kipi alicho ahidi ambacho kilikuwa hakijapitisha na bajeti ya bunge tofauti na uwanja ule wa ndege kule chato
Kutoongeza mishahara na kushusha bei ya sukari kutoka elfu 5 hadi 2500
Nini kipya KIKOKOTOO CHA 25%?Kuna vingine ni vipya mkuu