Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 697
- 1,358
Wanajopo.
Hii nchi tumechelewa sana katika medani za Uchumi kwa maana ya maendeleo,Rais Magufuli ndio Kilongora ambae ana ghala lililo sheheni maarifa na weledi katika kutuletea maendeleo halisi.
Shime watanzania tumuunge mko Rais wetu nazaidi tumpe ushirikiano wa kutosha hasa kwenye maboresho yale ambao ni ya kitaifa ili ayafanyie kazi kwa ustawi wa Nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaWanajopo.
Hii nchi tumechelewa sana katika medani za Uchumi kwa maana ya maendeleo,Rais Magufuli ndio Kilongora ambae ana ghala lililo sheheni maarifa na weledi katika kutuletea maendeleo halisi.
Shime watanzania tumuunge mko Rais wetu nazaidi tumpe ushirikiano wa kutosha hasa kwenye maboresho yale ambao ni ya kitaifa ili ayafanyie kazi kwa ustawi wa Nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikuambie jambo moja tu uliweke katika tafakari zako: HAKUNA NCHI DUNIANI INAENDELEA BILA WAFANYABIASHARA.
Maendeleo huanzia kwa watu ili waweze kuiendeleza nchi, serikali hawezi kuleta maendeleo kwa kununua vitu. Maendeleo tunayoyaona China yanatokana na watu si serikali.Wanajopo.
Hii nchi tumechelewa sana katika medani za Uchumi kwa maana ya maendeleo,Rais Magufuli ndio Kilongora ambae ana ghala lililo sheheni maarifa na weledi katika kutuletea maendeleo halisi.
Shime watanzania tumuunge mko Rais wetu nazaidi tumpe ushirikiano wa kutosha hasa kwenye maboresho yale ambao ni ya kitaifa ili ayafanyie kazi kwa ustawi wa Nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mabrasha tu hayana uhusiano wowote na utekelezaji wa maazimio hayo, au walitoa fedha za utekelezaji baada ya kuazimia?kasome vizur MDG
Kasome vizur na uelewe MMAM
Soma vizuri maazimio ya Abuja juu ya bajeti ya afya na dawa kwa nchi za Afrika.
mengine muwe mnaongea mkiwa vyumbani
Tumezoea kuisikia misemo ya "wananunua ndege wakati vijijini hakuna huduma za hospital"
Najiuliza tu wapiga kura wakina mama na wazee kwenye hili wataanzaje kumnyima Magufuli kura 2020?
=====
Mhe. Rais Magufuli amefungua Kituo cha Afya cha Mbonde Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara. Ni moja ya Vituo vya Afya 13 vilivyojengwa Mkoani Mtwara katika Awamu ya Tano na ni miongoni mwa Vituo vya Afya 352 vilivyojengwa nchi nzima katika Awamu hii ya Tano.
Kama hutaki kuangalia malengo, ili uweze kupima na kujua kama unapiga hatua kwa kasi inayotakiwa, hayo yote yatakuwa porojo. Wakati Tanganyika inapata uhuru 1961, idadi ya watu ilikuwa 12 million. Sasa hivi kuna watu 56 million. Kuna ongezeko kubwa la idadi ya watu karibu kila ngazi(Kijiji/Mitaa, Kata, Tarafa, Mijiji etc ) Kinachotakiwa ni kuangalia viwango vya uwiano na kasi yake ya kuongezeka na sio kushangilia namba/idadi tu bila uchambuzi.Hayo ni mabrasha tu hayana uhusiano wowote na utekelezaji wa maazimio hayo, au walitoa fedha za utekelezaji baada ya kuazimia?